Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Changamoto za kuoa ukiwa “Senior Bachelor”

Yaani Lizarazu umlinganishe na Rrondo???
Acha utani

Rrondo Gentleman sana
Yule bado mtoto.
hapo kwenye utoto sasa ndio umemaliza, yule mtoto anaropoka tu chochote wakati huyu mwingine anachagua nini cha kuongea na nini asiongee ila mitazamo yao inafanana niamini mimi.
 
hapo kwenye utoto sasa ndio umemaliza, yule mtoto anaropoka tu chochote wakati huyu mwingine anachagua nini cha kuongea na nini asiongee ila mitazamo yao inafanana niamini mimi.
Yawezekana mitazamo inafanana ila Rrondo ana busara,ni mtu mzima kidogo..huwezi mlinganisha na Lizarazu aliye kwenye 20's
Yaani akianza kubwabwaja hadi kichwa kinauma chaa!ana maneno makali mno anayoyaropoka popote.
 
Yawezekana mitazamo inafanana ila Rrondo ana busara,ni mtu mzima kidogo..huwezi mlinganisha na Lizarazu aliye kwenye 20's
Yaani akianza kubwabwaja hadi kichwa kinauma chaa!ana maneno makali mno anayoyaropoka popote.
huyo nadhani ni bora zaidi maana ni rahisi kudeal nae...unakuwa unajua anafikiria nini
 
Back
Top Bottom