Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,511
- 6,888
Usukumani ni 17 yrs kama hukwenda shuleSenior bachelor inaanza ukiwa na umri gani?
Usukumani ni 17 yrs kama hukwenda shuleSenior bachelor inaanza ukiwa na umri gani?
...😘😘😘...safi sana.Wanaoelewa wanaelewa, wanaojua wanajua tuuu.... baki hivyo hivyo...
The older you get, the wiser and better choices u make..
UwiiiNipe basi yule kaka yako uliyesema umemmisi![]()




Yaani Lizarazu umlinganishe na Rrondo???

Yaani Lizarazu umlinganishe na Rrondo???
Acha utani
Rrondo Gentleman sana
Yule bado mtoto.

hapo kwenye utoto sasa ndio umemaliza, yule mtoto anaropoka tu chochote wakati huyu mwingine anachagua nini cha kuongea na nini asiongee ila mitazamo yao inafanana niamini mimi.Yawezekana mitazamo inafanana ila Rrondo ana busara,ni mtu mzima kidogo..huwezi mlinganisha na Lizarazu aliye kwenye 20'shapo kwenye utoto sasa ndio umemaliza, yule mtoto anaropoka tu chochote wakati huyu mwingine anachagua nini cha kuongea na nini asiongee ila mitazamo yao inafanana niamini mimi.

ana maneno makali mno anayoyaropoka popote.Yawezekana mitazamo inafanana ila Rrondo ana busara,ni mtu mzima kidogo..huwezi mlinganisha na Lizarazu aliye kwenye 20's
Yaani akianza kubwabwaja hadi kichwa kinauma chaa!ana maneno makali mno anayoyaropoka popote.


huyo nadhani ni bora zaidi maana ni rahisi kudeal nae...unakuwa unajua anafikiria niniLizarazu hafaihuyo nadhani ni bora zaidi maana ni rahisi kudeal nae...unakuwa unajua anafikiria nini



Hapana
Hafai
Rrondo anafaa sana..
Au yule the Don![]()


Leo naona umeniamulia unanigawia wachumba tu, bahati mbaya sasa unanigawia kaka zangu hivi kwa nini usiniunganishe na yule nanihii yuleYaani huo ukaka inabidi ufe tu jamani mwee!!Leo naona umeniamulia unanigawia wachumba tu, bahati mbaya sasa unanigawia kaka zangu hivi kwa nini usiniunganishe na yule nanihii yule
Yaani huo ukaka inabidi ufe tu jamani mwee!!
Nikugawie yupi???


nitakuambia kesho...hawa achana nao. They're out of my leagueMwee nasubiri.nitakuambia kesho...hawa achana nao. They're out of my league




Mwee nasubiri.
Kesho asbh na mapema nakutext
Ila mbona kama nimeshamjua
Machale yamenicheza
Yule bro mstaarabu Sana sijaona kama yeye..atakufaa Sana![]()


humjui..niamini mimi, sijui hata unamfikiria nani aiseehumjui..niamini mimi, sijui hata unamfikiria nani aisee
Nadhani ni huyohuyo
Nitajie kwa codeNadhani ni huyohuyo
Ngoja nije kukutajia![]()