KERO Changamoto ya Pesa za Kujikimu Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

KERO Changamoto ya Pesa za Kujikimu Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari wadau,

Ninaomba mtusaidie kupaza sauti kuhusu suala la kupata pesa za kujikimu sisi ajira mpya upande wa Tamisemi Sumbawanga municipal council.

Watu wanalalamika hawalipwi

IMG_0073.jpeg

IMG_0075.jpeg
 
Back
Top Bottom