Changamoto kwa Chadema

Changamoto kwa Chadema

HM Hafif,

..as much as ningependa CDM wawe na wabunge wa kuchaguliwa toka pande zote za muungano, kupata wabunge toka Unguja au Pemba ni vigumu sana kwa wakati huu.

..itachukua muda mrefu na resources nyingi sana kuwabadilisha wananchi wa Unguja na Pemba kupigia kura vyama tofauti ya CCM na CUF.

..katika taaluma ya uchumi kuna kanuni inaitwa opportunity cost, sasa CDM wanapaswa kupima hasara na faida za kutafuta kura kwenye majimbo ya Zenj at the expense ya majimbo ya Tanganyika.

..mpaka sasa hivi chama chenye sura ya kitaifa[bara,visiwani,kaskazini,kusini,mashariki,magharibi,kati] ni CCM tu, sasa tujiulize chama hicho kimeweza vipi kufikia mafanikio hayo? pia vyama vyote vya upinzani havijaweza kuwa na sura ya kitaifa, je ni challenges zipi wanakutana nazo?

..bila shaka ili CDM waweze kushika serikali ya nchi hii wanapaswa kuongeza idadi ya wabunge na wapiga kura wao. now, how does CDM achieve that goal is up for debate. je, wanapaswa kujielekeza kwenye kanda chache zenye kura nyingi? au wajielekeze ktk maeneo mbalimbali na kuwa na support across the entire country?


Mkuu hauitaji degree kujuwa kwamba CCM ni muungano wa vyama viwili, yaani TANU na ASP, kwa hiyo ASP ikatowa wanachama upande wa Zanzibar na TANU ikatoa wanachama upande wa Tanganyika. lakini CHADEMA ni chama kimoja ambacho kinasimama kwa miguu yake na kinatafuta chenyewe wanachama wake pande zote katika mfumo mbovu wa kimuungano, ukumbuke vile vile CUF ni muungano wa vyama viwili, yaani CHAMA CHA WANANCHI cha James Mapalala na KAMAHURU cha Maalim Seif Shariff Hamad, ndio kikazaliwa Civic United Front CUF. ndio maana tunataka katiba mpya, sehemu kama Zanzibar iwe na vyama vyake yenyewe na wajitegemee kisiasa wao wenyewe.
Swali hivi tukianzisha shirikisho la kisiasa la East Africa kutakuwa na ulazima wa kuvunja hivi vyama tulivyonavyo ili kila chama kiwe ni cha East Africa nzima?
 
HM Hafif,

..as much as ningependa CDM wawe na wabunge wa kuchaguliwa toka pande zote za muungano, kupata wabunge toka Unguja au Pemba ni vigumu sana kwa wakati huu.

..itachukua muda mrefu na resources nyingi sana kuwabadilisha wananchi wa Unguja na Pemba kupigia kura vyama tofauti ya CCM na CUF.

..katika taaluma ya uchumi kuna kanuni inaitwa opportunity cost, sasa CDM wanapaswa kupima hasara na faida za kutafuta kura kwenye majimbo ya Zenj at the expense ya majimbo ya Tanganyika.

..mpaka sasa hivi chama chenye sura ya kitaifa[bara,visiwani,kaskazini,kusini,mashariki,magharibi,kati] ni CCM tu, sasa tujiulize chama hicho kimeweza vipi kufikia mafanikio hayo? pia vyama vyote vya upinzani havijaweza kuwa na sura ya kitaifa, je ni challenges zipi wanakutana nazo?

..bila shaka ili CDM waweze kushika serikali ya nchi hii wanapaswa kuongeza idadi ya wabunge na wapiga kura wao. now, how does CDM achieve that goal is up for debate. je, wanapaswa kujielekeza kwenye kanda chache zenye kura nyingi? au wajielekeze ktk maeneo mbalimbali na kuwa na support across the entire country?


Nafikiri wana Chadema wote humu jamvini (wanajiona ni Great Thinker) wangekuwa kama wewe basi mjadala huu ungekuwa na tija sana. lakini wengi wa wanachadema humu ni kumbikumbi tu wanafata mwanga bila kujua mwisho wake.

Engineers mara nyingi tunasema ' in order to build something strong, it helps to start with BEST and POSSIBLE materials"

Kwa mantiki hiyo kwa takriban 20 yrs since chadema ilivyoanzishwa imeweza kujikita zaidi kanda mbili tu (Lake na Northern) na sehemu nyingine kubwa kama South, Southrn highlands, Coast , Central na Island in general bado kujikita.

Hii kwa msingi wangu na msingi mkuu wa Vyama vyote vya siasa Duniani wa kuchukua na kuongoza Dola kwa njia ya uchaguzi halali na kushinda. Inahitaji wapate wabunge wengi sana Bungeni.

kama tunakubaliana na hilo ndio maana nikatoa Changamoto kama kweli mna nia thabit ya kutaka kuongoza Nchi hii basi lazima mvue hilo joho la ukanda na kuvaa joho la kitaifa ili kuweza kupata kura nyingi katika wabunge na madiwani ili kuliongoza bunge na hatyimaye kuongoza nchi.

Sasa kwa mwanasiasa hilo si gharama kwake kwani mtaji wake mkuu ni ILANI yake pamoja na kufanya mikutano ya hadhara katika kuuza sera zake kwa wapigakura.

Njia bora ni kwa Chadema kuanza kupenya kwenye Serikali za mitaa na kupanda juu kwenye kata, tarafa na hatimaye mkoa na taifa kijumla na sio viongozi wake kujifungia ofisini na kufanya tathmini bila kujaribu.

Kingine kwa mwanasiasa ambaye ni mpiganaji mara nyingi anakuwa sio muoga na mwenye kuogopa jambo bila kujaribu. Je mmesha fanya jitihada zozote kwenda Zenji kwa kishindo kama mnachofanya mwanza kwenda kunadi sera zenu kule au ndo mnabakia kusema kule haiwezekani.

Kwa msingi huo mtabakia popular sana kanda ya ziwa na mashariki na sehemu nyingine zote mtakuwa mdebwedo na hamtaweza kuchukua uongozi wa Dola hata kwa miaka 30 ijayo.

Ni bora wenye kuwa mnajaribu na wakati huo huo mnaongeza nguvu kubwa sehemu ambazo hamna wafuasi wengi ili mpate wabunge, madiwani na hata wenyeviti wa mitaa wengi na kuweza kuongoza nchi.

natoa changamoto
 
Changamoto za maana zitachukuliwa na kufanyiwa kazi.... za kidini pelekeni kwenye vyama vyenu... Mtoa mada anaonekana kwa upande mmoja kama ana nia njema ya kuwapa changamoto Chadema, kwa upande wa pili ana chuki kubwa na Chadema na kwa upande wa tatu ana chuki kubwa na wakatoliki....... Huo ni unafiki

Mimi nilifikiri wewe ni Great thinker kumbe ....

Sasa hapa weka hoja kupinga hoja zangu na sio bla bla. Mtu makini ni yule anayesoma mada vizuri na kuielewa kisha anatafakari na kuja na majibu mujarabu au ufafanuzi makini kwa kujenga hoja nzito kwa nia njema kabisa ya kuelimishana na hata kupashana tarifa mbalimbali lakini sio kutusiana au kukashifiana.

nakupa pole
 
Alisema haamini kwamba kuvuliwa nyadhifa kwa Zitto na Dk. Kitila ni kwa sababu ya waraka wa ushindi, kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya viongozi wa Chadema, bali anaamini kuvuliwa kwao ni kutokana na hofu ya uchaguzi, ubaguzi wa kikabila na kikanda.



“Kwa kuwa vipaumbele vya Chadema ni kukijenga chama mikoa ya Kaskazini, basi sisi wananchi wa Mkoa wa Lindi tunawatakia kila la heri, na kwamba waendelee kukijenga chama chao huko huko waliko. Nashukuru wote ambao nilifanya nao kazi pamoja katika kutekeleza majukumu yangu.


ADAI KUTISHIWA MAISHA
Baada ya kuongoza uasi wa wanafunzi wa vyuo vikuu jjini Dar es Salaam, Brigedia Greyson Nyakarungu, ameibuka na kudai anatishiwa maisha na viongozi wa Chadema, wakikasirishwa na hatua yake ya kuongoza wanafunzi kupinga uamuzi wa Kamati Kuu.

Akizungumnza na NIPASHE Jumapili kwa njia ya simu kutoka mjini Morogoro, Brigedia Nyakarungu, ambaye ni mwanachama wa siku nyingi wa chama hicho, alisema tayari ameripoti polisi kwa ajili ya kupewa ulinzi.

Hivi karibuni, Nyakurungu akiwa na baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali, alitoa tamko la kupinga uamuzi wa kamati Kuu kumvua nafasi zote aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe.

Katika tamko hilo, alitoa tishio la kutangaza uasi nchi nzima endapo uamuzi huo hautaangaliwa upya kwa maslahi ya chama. "Baada ya kutoa tamko lile, nimetumiwa ujumbe wa kuuawa mara moja kwa sababu nataka kukiua chama," alisema Nyakarungu.

Aliwataja baadhi ya viongozi wakuu wa chama hicho (majina yanahifadhiwa) kwa kuhusika na mpango huo. Alisema siri hiyo ilijulikana baada ya kiongozi mmoja ambaye hakukubaliana na mpango huo, kumpigia simu na kumtahadharisha kuwa makini kwani kuna mkakati wa kumuondoa duniani.

Baada ya kupewa taarifa hizo, Nyakurungu alikwenda kituo cha polisi mkoa na juzi kufungua faili la malalamiko. Aidha, alipewa RB yenye namba MOR/RB/12999/13, ambapo alitakiwa kurudi kesho yake kutoa taarifa.

Brigedia Nyakurungu aliingia kwenye chama hicho mwaka 2004 na kupewa nafasi ya utendaji mtendaji makao makuu.
 
CCM ni Chama Cha waislamu

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu
 
CCM ni Chama Cha waislamu

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu

laana inakutafuna wewe kamwe hautabaki salama
 
Hembu acheni kuendekeza mambo ya kidini/kikabila.
Ni upuuzi kusema CHADEMA ni chama cha Kikristo na ccm ni chama cha Kiislam.
Huku ni kuishiwa kwa hoja kwa watu wa pande zote mbili.
Nashauri mods wafungie thread kama hz.
 
hembu acheni kuendekeza mambo ya kidini/kikabila.
Ni upuuzi kusema chadema ni chama cha kikristo na ccm ni chama cha kiislam.
Huku ni kuishiwa kwa hoja kwa watu wa pande zote mbili.
Nashauri mods wafungie thread kama hz.
mkuu mala nyingi moto unaowashwa huwa hauwaki upande mmoja. Ukisema mwenzio anatabia mbaya tunaanza kukuangalia nawewe, sema kama taifa hii tabia inafaa ikomeshwe mapema sana hasa wa haya maccm
 
Hembu acheni kuendekeza mambo ya kidini/kikabila.
Ni upuuzi kusema CHADEMA ni chama cha Kikristo na ccm ni chama cha Kiislam.
Huku ni kuishiwa kwa hoja kwa watu wa pande zote mbili.
Nashauri mods wafungie thread kama hz.

Chadema chama cha kikristo hilo lipowazi. Si unaona mapadri na wachungaji.
 
Chadema chama cha kikristo hilo lipowazi. Si unaona mapadri na wachungaji.

Kama walivyojaa CCM wakina Alhaji na maustaadhati kibao ili ajenda zenu za mahakama ya kadhi na kuchinja nyama zipite bila kupingwa!Mahakama ipo wapi na kuchinja nyama tuchinjieni tu sie tunakemea mapepo yote kwenye hiyo nyama!Na hata kitimoto mkitaka mtuchinjie tutawapa pia,maana nasikia nyie ndo walaji wakuu na wanywaji wa Tusker lager!
 
CCM ni Chama Cha waislamu

Sekretariate ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),
1. Mwenyekiti - Jakaya Kikwete - Muislamu
2. Katibu Mkuu - Abdulrahman Kinana - Muislamu
3. Naibu Katibu Bara - Mwigulu Nchemba - Muislamu
4. Naibu Katibu Viziwani - Vuai Ally Vuai - Muislamu
5. Katibu Itikani na Uenezi - Nape Nnauye - Muislamu
6. Katibu wa NEC Siasa na uhusiano - Asha Migiro - Muislamu (Zamani mkristo)
7. Katibu wa NEC Uchumi na Fedha - Zakia Meghji - Muislamu
8. Katibu wa NEC Oganizesheni - Mohamed Seif Khatib - Muislamu

Tukija kwenye serikali nyadifa zote muhimu zimekamatwa na waislamu
1. Rais wa Nchi - Muislamu
2. Makamu wa Rais - Muislamu
3. Jaji Mkuu - Muislamu
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa Muislamu
5. Mkuu wa Polisi - Muislamu
6. Waziri wa Ulinzi (wizara nyeti na muhimu) – Muislamu
7. Rais wa Zanzibar muislam
8. Makam wa Rais Zanzibar wote ni waislam

Wakuu wa Mikoa 65% ni Waislamu.
Wakuu wa Wilaya 80% ni waislamu

Hebu wacha uzezeta tena ni aibu kuleta udini,hivi Tanzania ina Mawaziri wangapi ,Ina mikoa mingapi ina wilaya ngapi ,kama ungekuwa mkweli basi ungeliandika ukweli ,weka kando hilo.

Habari ni hii na hili ndio la kulizungumza "ni kutokana na hofu ya uchaguzi, ubaguzi wa kikabila na kikanda. " Hapo udini upo wapi ? Zaidi ni hilo la uchaguzi kwani kila CDM inapokaribia uchaguzi basi utasikia visa vyao ,watatimuana au watavuka mipaka na kuuwana ,hili ndio la kulisahihisha ,akupendae hukuambia hakai kimya mpo ?
 
Alisema haamini
kwamba kuvuliwa nyadhifa kwa Zitto na Dk. Kitila ni kwa
sababu ya waraka wa ushindi, kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya
viongozi wa Chadema, bali anaamini kuvuliwa kwao
ni kutokana na hofu ya uchaguzi,
ubaguzi wa kikabila na kikanda.




“Kwa kuwa vipaumbele vya Chadema ni kukijenga chama mikoa ya
Kaskazini, basi sisi wananchi wa Mkoa wa Lindi tunawatakia kila la heri,
na kwamba waendelee kukijenga chama chao huko huko waliko. Nashukuru
wote ambao nilifanya nao kazi pamoja katika kutekeleza majukumu yangu.


ADAI KUTISHIWA MAISHA
Baada ya kuongoza uasi wa wanafunzi wa vyuo vikuu jjini Dar es Salaam,
Brigedia Greyson Nyakarungu, ameibuka na kudai anatishiwa maisha na
viongozi wa Chadema, wakikasirishwa na hatua yake ya kuongoza wanafunzi
kupinga uamuzi wa Kamati Kuu.

Akizungumnza na NIPASHE Jumapili kwa njia ya simu kutoka mjini
Morogoro, Brigedia Nyakarungu, ambaye ni mwanachama wa siku nyingi wa
chama hicho, alisema tayari ameripoti polisi kwa ajili ya kupewa ulinzi.

Hivi karibuni, Nyakurungu akiwa na baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu
mbalimbali, alitoa tamko la kupinga uamuzi wa kamati Kuu kumvua nafasi
zote aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe.

Katika tamko hilo, alitoa tishio la kutangaza uasi nchi nzima endapo
uamuzi huo hautaangaliwa upya kwa maslahi ya chama. "Baada ya kutoa
tamko lile, nimetumiwa ujumbe wa kuuawa mara moja kwa sababu nataka
kukiua chama," alisema Nyakarungu.

Aliwataja baadhi ya viongozi wakuu wa chama hicho (majina
yanahifadhiwa) kwa kuhusika na mpango huo. Alisema siri hiyo ilijulikana
baada ya kiongozi mmoja ambaye hakukubaliana na mpango huo, kumpigia
simu na kumtahadharisha kuwa makini kwani kuna mkakati wa kumuondoa
duniani.

Baada ya kupewa taarifa hizo, Nyakurungu alikwenda kituo cha polisi
mkoa na juzi kufungua faili la malalamiko. Aidha, alipewa RB yenye
namba MOR/RB/12999/13, ambapo alitakiwa kurudi kesho yake kutoa
taarifa.

Brigedia Nyakurungu aliingia kwenye chama hicho mwaka 2004 na kupewa
nafasi ya utendaji mtendaji makao makuu.

hii inaitwa piga nikupige
 
Ni miaka mingi sasa tangu CCM na vibaraka wake wakitumia propaganda ya Udini na Ukanda Kujaribu kuwaaminisha Watanzania kwamba Chadema chama kikuu cha upinzani na kinachobeba matumaini ya Watanzania ni chama cha Kikabila [wachaga] na ni ya kanda ya kaskazini.

Kinachonishangaza ni kitendo cha hawa wanaoikosoa Chadema kuendelea kungangania kubaki ktk chama kinachodaiwa ni cha kikabila na Kidini.
Kama kweli wanaona Chadema kiko hivyo si waachane nayo na kuunda au kujiunga na chama ambacho sio cha kikabila na kikanda?

Kuendelea kwao kuwepo ktk chama wanachokituhumu kuwa ni cha kibaguzi ni dhahiri kwamba wanacho kisema ni uongo na kwamba nyuma ya agenda yao hiyo kuna siri iliyojificha na ndio maana hawaondoki na badala yake wanaendelea kutumika ili kutimiza malengo ya wafadhili wao.
 
Ni miaka mingi sasa tangu CCM na vibaraka wake wakitumia propaganda ya Udini na Ukanda Kujaribu kuwaaminisha Watanzania kwamba Chadema chama kikuu cha upinzani na kinachobeba matumaini ya Watanzania ni chama cha Kikabila [wachaga] na ni ya kanda ya kaskazini.

Kinachonishangaza ni kitendo cha hawa wanaoikosoa Chadema kuendelea kungangania kubaki ktk chama kinachodaiwa ni cha kikabila na Kidini.
Kama kweli wanaona Chadema kiko hivyo si waachane nayo na kuunda au kujiunga na chama ambacho sio cha kikabila na kikanda?

Kuendelea kwao kuwepo ktk chama wanachokituhumu kuwa ni cha kibaguzi ni dhahiri kwamba wanacho kisema ni uongo na kwamba nyuma ya agenda yao hiyo kuna siri iliyojificha na ndio maana hawaondoki na badala yake wanaendelea kutumika iku kutimiza malengo ya wafadhili wao.

kweli kabisa
 
ni miaka mingi sasa tangu ccm na vibaraka wake wakitumia propaganda ya udini na ukanda kujaribu kuwaaminisha watanzania kwamba chadema chama kikuu cha upinzani na kinachobeba matumaini ya watanzania ni chama cha kikabila [wachaga] na ni ya kanda ya kaskazini.

Kinachonishangaza ni kitendo cha hawa wanaoikosoa chadema kuendelea kungangania kubaki ktk chama kinachodaiwa ni cha kikabila na kidini.
Kama kweli wanaona chadema kiko hivyo si waachane nayo na kuunda au kujiunga na chama ambacho sio cha kikabila na kikanda?

Kuendelea kwao kuwepo ktk chama wanachokituhumu kuwa ni cha kibaguzi ni dhahiri kwamba wanacho kisema ni uongo na kwamba nyuma ya agenda yao hiyo kuna siri iliyojificha na ndio maana hawaondoki na badala yake wanaendelea kutumika iku kutimiza malengo ya wafadhili wao.

kamwe hatutawaruhusu kwasababu tumeshawajua, lazima kife kwasababu nchi yetu haifungamani na itikadi zenu, vinginevyo mjidhihirishe ili msajili akifute rasimi-ubabaishaji wenu wa kitapeli kwisha
 
Back
Top Bottom