Kwani thread hii nilipost ili wewe uisifie???????
Tunakujua wewe ni sawa na Kiberiti ngoma kwa kujiingiza ktk kila hoja. Endelea tu kujipa matumaini km huyo Nape wako kwa kudhani kuwa kutunga uwongo dhidi ya Chadema ndio njia ya kukiuwa!!
Mtasubiri sana!!!
ni kweli mkuu;watasubiri sana.