Changamoto kwa Chadema

Kwani thread hii nilipost ili wewe uisifie???????
Tunakujua wewe ni sawa na Kiberiti ngoma kwa kujiingiza ktk kila hoja. Endelea tu kujipa matumaini km huyo Nape wako kwa kudhani kuwa kutunga uwongo dhidi ya Chadema ndio njia ya kukiuwa!!

Mtasubiri sana!!!

ni kweli mkuu;watasubiri sana.
 
Ni miaka mingi sasa tangu CCM na vibaraka wake wakitumia propaganda ya Udini na Ukanda Kujaribu kuwaaminisha Watanzania kwamba Chadema chama kikuu cha upinzani na kinachobeba matumaini ya Watanzania ni chama cha Kikabila [wachaga] na ni ya kanda ya kaskazini.

Kinachonishangaza ni kitendo cha hawa wanaoikosoa Chadema kuendelea kungangania kubaki ktk chama kinachodaiwa ni cha kikabila na Kidini.
Kama kweli wanaona Chadema kiko hivyo si waachane nayo na kuunda au kujiunga na chama ambacho sio cha kikabila na kikanda?

Kuendelea kwao kuwepo ktk chama wanachokituhumu kuwa ni cha kibaguzi ni dhahiri kwamba wanacho kisema ni uongo na kwamba nyuma ya agenda yao hiyo kuna siri iliyojificha na ndio maana hawaondoki na badala yake wanaendelea kutumika ili kutimiza malengo ya wafadhili wao.

Akili ndogo kutawala akili kubwa!
 
Lisemwalo lipo kama halipo linakuja huenda itakuja kuthibitika baadaye kuwa cha kikabila, kidini na kikanda maana muda upo bado haujaisha!
 
Lisemwalo lipo kama halipo linakuja huenda itakuja kuthibitika baadaye kuwa cha kikabila, kidini na kikanda maana muda upo bado haujaisha!


Sio kila lisemwalo lipo au laja!! Mengine ni maneno tu.
Kwa mfano wanaosema kwamba mzee mmoja kiongozi ktk nchi hii anafanana na Sokwe je ni kweli kwamba kwa vile inasemekana hivyo basi siku moja anaweza kugeuka na kwenda Gombe kukuta ndugu zake??

Sio kila lisemwalo Lipo au laja. Kumbuka kuwa huo ni usemi tu.
 
Sasa mkibaki wachaga peke yenu itawasaidia nini?au wachaga wenzenu ndio watawaingiza ikulu? Hii ndio faida ya kuanzisha uzi wakati mbege imekolea kichwani.

Sasa mnapigaga kelele chama cha wachaga~chama cha wachaga za nini???Acheni chuki za kikabila na kidini kwani hata Baba wa TAIFA alishalionya hilo.,So as TANZANIANS we don mind about kabila's,wherever if u're NGONIS,KURYAS,SUKUMA FROM SUKUMA LAND even GOGOS,What we need is 'MABADILIKO',A PERSON OF CHANGES,sio blahblah za miaka 52. nyuma.
 
Kwani thread hii nilipost ili wewe uisifie???????
Tunakujua wewe ni sawa na Kiberiti ngoma kwa kujiingiza ktk kila hoja. Endelea tu kujipa matumaini km huyo Nape wako kwa kudhani kuwa kutunga uwongo dhidi ya Chadema ndio njia ya kukiuwa!!

Mtasubiri sana!!!

Hivi nyinyi watoto wa Mtei akili zenu mmefungia kwenye mabegi unaandika hovyohovyo tu alafu unataka great thinker wasapoti utumbo,inaonyesha hata shule hukwenda wewe unamawazo mgando kabisa.
 
Sio kila lisemwalo lipo au laja!! Mengine ni maneno tu.
Kwa mfano wanaosema kwamba mzee mmoja kiongozi ktk nchi hii anafanana na Sokwe je ni kweli kwamba kwa vile inasemekana hivyo basi siku moja anaweza kugeuka na kwenda Gombe kukuta ndugu zake??

Sio kila lisemwalo Lipo au laja. Kumbuka kuwa huo ni usemi tu.

Kudadadake! Akili kubwa sana hii sijui hiyo misukule inayoamini kila jambo anajisikiaje kwa jibu hili.
 
Hivi nyinyi watoto wa Mtei akili zenu mmefungia kwenye mabegi unaandika hovyohovyo tu alafu unataka great thinker wasapoti utumbo,inaonyesha hata shule hukwenda wewe unamawazo mgando kabisa.

Hee! Nawe ni GT! Tuache utani na hizi kalama walizojaliwa waachwe wajiite hivyo! Kama GT ni wa sampuli yako basi hapana shaka ktk jamii yako wote ni ma IRON BOYS/GIRLS
 
Back
Top Bottom