Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,378
Mie bado na reccomend googleee kwa majibu sahihi ya issue kama hizi na nyingine nzito kama the best way to kill yourself... Mkuu gugoo utaona ilivyo rahisi.
Mkuu ila biology inaruhusu apigwe dyudyu sasa utafanyaje?Acheni kutuharibia mabinti wetu jamani. Kama huna mtoto wa kike huwezi kuelewa jinsi inavyouma.
Ivi 18yrs kama angekua mwanao ukimuona mtu muharibifu ungemfanyaje?
mtakuja kuwaona watu wabaya kumbe ubaya umeuanza wewe..
Acheni kutuharibia mabinti wetu jamani. Kama huna mtoto wa kike huwezi kuelewa jinsi inavyouma.
Ahahahaha umenigusa sana ndugu ngoja kwanza hao ukiwatongoza utachukua miaka tena unaweza mkosa kabs coz hao ndo upenda mtu na kama amekupenda bac ata awe geti kali vipi atakuja kukupa mjanja wake bila shida tena we ndo utakua unaogopa na sio yeye na wengine atawasemaje ye atakua na we tu mana akili yake we ni mwanaume rafiki wa pili anaemuamini kwenye mwili wake baada ya baba yake kwaiyo kama ajakupenda bac jiweke karibu nae kwa ucheshi ili aanze kukupenda ukimtongoza utapata shida kukuelewa sana coz prevention ya baba yake kama kamfanya kua karibu sana naebaada ya kuumizwa sana na mabinti wa umri wangu nimeamua kurudi kwa mabinti dogodogo.kuna kabinti niko nako kwa sasa kana 18 ndio kameua form four juzi.ila naona kama kananisumbua sana maana kwao geti kali na hakatoki nje hovyo simu yenyewe ni mpaka kagongee ya beki tatu wao maana wazazi wake hawataki kawe na simu.
kwa wazoefu huwa mnawezaje kudate na hawa watu wa umri huu?
baada ya kuumizwa sana na mabinti wa umri wangu nimeamua kurudi kwa mabinti dogodogo.kuna kabinti niko nako kwa sasa kana 18 ndio kameua form four juzi.ila naona kama kananisumbua sana maana kwao geti kali na hakatoki nje hovyo simu yenyewe ni mpaka kagongee ya beki tatu wao maana wazazi wake hawataki kawe na simu.
kwa wazoefu huwa mnawezaje kudate na hawa watu wa umri huu?
Mkuu ni wasumbufu sana acha kabisa.baada ya kuumizwa sana na mabinti wa umri wangu nimeamua kurudi kwa mabinti dogodogo.kuna kabinti niko nako kwa sasa kana 18 ndio kameua form four juzi.ila naona kama kananisumbua sana maana kwao geti kali na hakatoki nje hovyo simu yenyewe ni mpaka kagongee ya beki tatu wao maana wazazi wake hawataki kawe na simu.
kwa wazoefu huwa mnawezaje kudate na hawa watu wa umri huu?
Mkuu ni wasumbufu sana acha kabisa.baada ya kuumizwa sana na mabinti wa umri wangu nimeamua kurudi kwa mabinti dogodogo.kuna kabinti niko nako kwa sasa kana 18 ndio kameua form four juzi.ila naona kama kananisumbua sana maana kwao geti kali na hakatoki nje hovyo simu yenyewe ni mpaka kagongee ya beki tatu wao maana wazazi wake hawataki kawe na simu.
kwa wazoefu huwa mnawezaje kudate na hawa watu wa umri huu?
Heshima ni kitu cha bure sanaaaaaaaaa...Walikuharibu ukiwa na miaka mingapi! kama sio 15 hivi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mabazazii tu kutuharibia wanetu
Heshima ni kitu cha bure sanaaaaaaaaa...
Wakikukamata si unasema binti ana miaka 18, watakauliza ulianza date naye lini lazima aseme mwaka mmoja uliopita so 3o unayo, ama alikudanganya umri wake akasema 18 ili asikukose.Huyu bado ni mwanafunzi mpaka matokeo yakitoka ndo sifa ya uanafunzi inapotea,