kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 13,964
- 26,156
Baada ya kuumizwa sana na mabinti wa umri wangu nimeamua kurudi kwa mabinti dogodogo, kuna kabinti niko nako kwa sasa kana 18 ndio kameua form four juzi ila naona kama kananisumbua sana maana kwao geti kali na hakatoki nje hovyo simu yenyewe ni mpaka kagongee ya beki tatu wao maana wazazi wake hawataki kawe na simu kwa wazoefu huwa mnawezaje kudate na hawa watu wa umri huu?