Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,730
nilikuwa sielewi,hakuna habari za serikali za mitaa....naona mambo ya miaka 53 ya uhuru nikawa bado gizani kufika za michezo naona mambo ya big brother sijakaa sawa khaa mechi ya mtani jembe haijachezwa nikadhani nipo usingizini nikapata furaha maana timu yangu ilifungwa......
Haaa mpaka kafika habari za michezo hakuna maproducer.wala hata boss aliyeskia akajaribu kuokoa jahazi na huyo msomaji hajielewi wala sijui kama Kafka secondary ya Kara au si mtanzania mambo ya Uhuru Leo Hi khaaaaaaaa alilala na viroba jogoo walahi keleuwiii