think b4 u leap
think b4 u leap
you already know what i mean for i can smell that you are good at reading between them lines..this is really good ! You seem to be very good in reversing, yaani bingwa wa rivasi ! Una imani kweli ? Tell us what you really mean mkuu !
Acheni kuwa vilaza, tutawaambia hadi lini? Tutamwita Mchemba azidi kuwafundisha ingawa vichwa vyenyewe vya panzi. Halafu cdm wengi shule ndoooooooooooogo maneno dhaifu meeeeeengi. Nani alisema kesi Mahakama ya Rufaa inasikilizwa. Sikia wewe kilaza na vilaza wenzio wanakukuruka humu ndani, kesi ya Mahakama ya Rufaa inapitiwa. Zaidi ya hapo siwezi endelea maana vichwa vyenyewe vinanipa shida kama kuna vinachoelewa.
Huyo Lema hana chake hapo
Acheni kuwa vilaza, tutawaambia hadi lini? Tutamwita Mchemba azidi kuwafundisha ingawa vichwa vyenyewe vya panzi. Halafu cdm wengi shule ndoooooooooooogo maneno dhaifu meeeeeengi. Nani alisema kesi Mahakama ya Rufaa inasikilizwa. Sikia wewe kilaza na vilaza wenzio wanakukuruka humu ndani, kesi ya Mahakama ya Rufaa inapitiwa. Zaidi ya hapo siwezi endelea maana vichwa vyenyewe vinanipa shida kama kuna vinachoelewa.
Acha uvivu Mkuu, habari hiyo hapo. Kama huamini, find out the truth, sio kuropoka!
Mkuu nafiri ilikuwa inafanyika kwa style ya majibishano ya kimaandishi so majaji walishapitia maelezo yao pamoja na rejoinder kilichobaki ni kutoa hukumu.
Nadhani tuache kudhani kwa kufikiri, kusikia bila usahihi wa ulilosikia ni adhabu kwa uzembe wako.Wengi mko hivyo, baada ya huyo kilaza kuweka thread yake isiyo na ukweli kwa sababu yeye kwake Lema ni zaidi ya baba yake basi wote mmekwenda huko huko. Ninachokusifu Mujwahuzia (labda kwa kuwa unafanana nawatu wa kule kwetu) ni kwamba unajua kuwa Mahakama ya Rufaa aisikilizi kesi ila inaipitia, kuliko huyo kilaza kwanza kaleta hoja si sahihi halafu analalamika bila utafiti akisema imesikizwa, tatizo la kutojua kusoma maana angekuwa anajua angeenda kulinunua hilo gazeti ingawa hela hana na si KULALAMIKA kipumbavu baada ya kusikiliza tuonGee magazeti RFA.Unungunungu huo. Ukweli ni kwamba kesi iliyopitiwa ni ya mgombea wa Babati Laurent somebody na ya babake FILIPO ambaye ni Lema itapitiwa Oct 2 baada ya mawakili kutoka msibani. Sasa huyo kilaza na gazeti laT.Daima hata akili ndogo ya kitoto cha miaka miwili hana kujua hata hilo.Nafikiri nikimwita mpumbavu hatachukia kwani anajijua
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa_taratibu mkuu.....mzima lakiniOoohh Switiii!! Dont rush to conclusion.
Acheni kuwa vilaza, tutawaambia hadi lini? Tutamwita Mchemba azidi kuwafundisha ingawa vichwa vyenyewe vya panzi. Halafu cdm wengi shule ndoooooooooooogo maneno dhaifu meeeeeengi. Nani alisema kesi Mahakama ya Rufaa inasikilizwa. Sikia wewe kilaza na vilaza wenzio wanakukuruka humu ndani, kesi ya Mahakama ya Rufaa inapitiwa. Zaidi ya hapo siwezi endelea maana vichwa vyenyewe vinanipa shida kama kuna vinachoelewa.
Mkuu wangu Mzito Kabwela, hata ujaji tikimpatia Ritz hiyo rufani ipo wazi kamanda Lema atashinda tu.Mimi ni CDM, Mke wangu na watoto wangu wote ni CDM. Ila kwenye hii kesi Lema hashindi
Nadhani tuache kudhani kwa kufikiri, kusikia bila usahihi wa ulilosikia ni adhabu kwa uzembe wako.Wengi mko hivyo, baada ya huyo kilaza kuweka thread yake isiyo na ukweli kwa sababu yeye kwake Lema ni zaidi ya baba yake basi wote mmekwenda huko huko. Ninachokusifu Mujwahuzia (labda kwa kuwa unafanana nawatu wa kule kwetu) ni kwamba unajua kuwa Mahakama ya Rufaa aisikilizi kesi ila inaipitia, kuliko huyo kilaza kwanza kaleta hoja si sahihi halafu analalamika bila utafiti akisema imesikizwa, tatizo la kutojua kusoma maana angekuwa anajua angeenda kulinunua hilo gazeti ingawa hela hana na si KULALAMIKA kipumbavu baada ya kusikiliza tuonGee magazeti RFA.Unungunungu huo. Ukweli ni kwamba kesi iliyopitiwa ni ya mgombea wa Babati Laurent somebody na ya babake FILIPO ambaye ni Lema itapitiwa Oct 2 baada ya mawakili kutoka msibani. Sasa huyo kilaza na gazeti laT.Daima hata akili ndogo ya kitoto cha miaka miwili hana kujua hata hilo.Nafikiri nikimwita mpumbavu hatachukia kwani anajijua
kaka anaitwa Allute mughwai Lissu na Tundu mugwai Lissu ni wanandugu baba mmoja na mama mmoja ilakatika kesi hii kaka yuko upande wa magamba na lissu upande wa gwandaz,hivyo kifo kiliwahusu wote.hope nimesomeka.Nasi tusubiri tuone. Hivi wakuu mawakili wa pande zote mbili ni mtu na kaka yake? Maana niliwahi kusoma hapa jukwwani kuwa wakili wa washitaki ni kaka wa lissu na juzi nilisikia mawakili wamefiwa na baba yao mwenye kujua anijuze kidogo
kaka anaitwa Allute mughwai Lissu na Tundu mugwai Lissu ni wanandugu baba mmoja na mama mmoja ilakatika kesi hii kaka yuko upande wa magamba na lissu upande wa gwandaz,hivyo kifo kiliwahusu wote.hope nimesomeka.
UKANA SHILUNGO.