Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Mkuu wangu Mungi Ikulu imegoma kubadili maamuzi yake.
Mkuu wangu Mungi Ikulu imegoma kubadili maamuzi yake
Mimi bado sijaelewa sawasawa, kesho ndio rufaa inaanza kusikilizwa au hukumu inatolewa?Kesho tutakuwa mahakamani kama kawaida, tunawakaribisha vijana wa mwema kuungana nasi kusherekea baada ya matokeo ya hukumu!
Mimi bado sijaelewa sawasawa, kesho ndio rufaa inaanza kusikilizwa au hukumu inatolewa?
nina imani na majaji walioteuliwa na mwenyekiti wa ccm kusikiliza kesi ya mtu aliyeitwa ikulu na mwenyekiti wa ccm kumuomba agombee arusha kwa tiketi ya ccm na akakataa...nina imani....
Kesho ndo hukumu mkuu!
...Si bure ulikopwa!!:nono::nono:Huyo Lema hana chake hapo
Kesho ndiyo inasikilizwa baada ya kuahirishwa Septemba 20 kutokana na msiba wa Mawakili Tundu Lisu na Alute Mughwai.
Mkuu Mungi, Itakuwa hapa Dar ama Arusha? kama ni Arusha tunakutegemea, na kama ni Dar please kamanda Yeriko Nyerere, tunakutegemea kwa Live uptade kama case ya Mnyika, kwa Arusha kamanda mungi na mkuu wangu@Crashwise watashambulia JF kesho haitoshi na AR jiji litalipuka kwa shangwe, I wish to be thea.Kesho tutakuwa mahakamani kama kawaida, tunawakaribisha vijana wa mwema kuungana nasi kusherekea baada ya matokeo ya hukumu!
Mkuu Mungi, Itakuwa hapa Dar ama Arusha? kama ni Arusha tunakutegemea, na kama ni Dar please kamanda Yeriko Nyerere, tunakutegemea kwa Live uptade kama case ya Mnyika, kwa Arusha kamanda mungi na mkuu wangu@Crashwise watashambulia JF kesho haitoshi na AR jiji litalipuka kwa shangwe, I wish to be thea.
Safi sana hayo ni majembe matupu, tatizo kuna mijitu inaamka hata saa kumi alfajiri linaanzisha uzi na kutapa UPDATE, kumbe hayupo hata eneo husika... ila hao wote juu ni majembe tunawaaminia sana wakuu wetu.Itakuwa hapa Arusha Mkuu, tutakuwa makini, bila shaka mimi mwenyewe nitakuwepo mungu akitujalia afya njema, nitaingia na laptop badala ya mchina hiyo kesho, kamanda Crashwise, yegella, Exaud Mamuya, Phillipo, Liverpoolfc, nk. watakuwepo.
Huyu Filipo ni miongoni mwa wazushi tu wanaozungusha thread za kuyumbisha watu. Hakuna rufaa iliyosikilizwa kwani kesi iliahirishwa na Jaji Mkuu kwa kuwa mawakili wa pande mbili (ambao ni ndugu) Allute Makwai na Tundu Lissu kufiwa na Baba yao mzazi (Mzee Magwai). Hapa kuna uzushi tu na mambo ya kutumwa. Lakini kama ilivyo kwa hadithi ya ndege mbayumbayu na kong'ota akili za kuambiwa ni budi uchanganye na za kwako siyo kuact kama robot.
Taarifa aliyoitoa huyu ni ile iliyotolewa na jaji Mkuu kabla ya kikao cha kusikiliza rufaa hiyo zaidi ya wiki moja iliyopita.
Nina uhakika CCM ilishaagiza Lema arudishiwe ubunge wake, kwa sababu najua CCM pamoja na dhaifu wao sio wajinga kihiiivyo!. Ukitaka kujua kwa nini nina uhakika juu ya hili niulize baada ya kusomwa hukumu Jumanne ijayo.