Asa na wewe mkuu kweli ulienda kupanga foleni kutafuta chndarua cha bure ambacho kimewekwa dawa usiyoijua ya kummaliza mbu miaka kadhaa
Je uliuliza ni dawa gani wameweka kwenye hivyo vyandarua na kwa nini hata ikifuliwa na sabuni nguvu zake haziishio bado mbu akijingonga tuu pale anakufa
Mhhh akili kichwani mwako changanya na za kuambiwa
Je uliuliza ni dawa gani wameweka kwenye hivyo vyandarua na kwa nini hata ikifuliwa na sabuni nguvu zake haziishio bado mbu akijingonga tuu pale anakufa
Mhhh akili kichwani mwako changanya na za kuambiwa