Alafu wakati mwingine tuache ujinga, wote tunaangalia mpira, goali hili ni DIDA amefungisha, golikipa gani unafungwa goli rahisi kabisa, badala ya kudaka mpira, yeye anatanguliza miguu na kugonga mpira. HOVYOO KABISAAA.
Malinzi ndio aliyemleta huyo kocha mbovu ambae anachagua wachezaji ambao wanakaa benchi kwenye klabu zao.Dida kwa sasa hastahili kuwa kipa namba moja wa Taifa Stars hata pale Yanga Barthez ndio alikuwa namba one
Alifanya makosa sana kutaka kubadilisha kila kitu pale TFF,baadhi ni haya
1.Kuvunja mkataba wa Kim Poulsen
2.Kuhamishia ofisi za TFF Posta
3.Kutaka kubadilisha jina la Taifa
4.Kubadilisha jezi za Taifa Stars
5.Ameanzisha timu inaitwa maboresho,sijui hata ina umuhimu gani
6.
7.