CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

Tutashinda tukichukua jopo la kocha Mkwasa, Kibaden, Julio etc

Inteligensia inaonyesha Malinzi atateua Mukebezi au Minziro kwa sababu zake zile ...
 
Nilitegemea huyu Kocha atabwaga manyanga...

Lakini naona bado ni king'ang'anizi aisee!...
 
Inasikitisha sana siku hizi kabla ya mechi tunajua kabisa tunafungwa,Tunafungwa mechi ya tano mfululizo.Hata droo siku imekuwa ngumu kupata
 
Kama hawa wachezaji ni wazalendo wajiuzulu kuchezea Stars tuone ka Malinzi na huyo babu yake watachezesha wanao!!
 
na muziki wenyewe umejawa na majungu ya kutosha.



Tena muzik nako kuna ujinga ujinga wa kujiita team-nani....si jui team Nani....

Watu wamemsnitch diamond hadi Davido kapost bendera ya Tz....

wakenya wanatuona mapimbi,

1. maendeleo the last,
2. music the last
3. mpira the last

Kila kitu the last,
 
Tatizo ni jezi jamani.....hahahahah
 
Ndio madhara ya vilabu vilivyojaza wachezaji humo kununua mechi na kupata top two. Kocha anadanganyika akidhani wanajua mpira kumbe wapinzani wamenunuliwa na kucheza chini ya kiwango, mara unasikia mtu ameshinda 8-0
 
Noorj anasindikizwa na polis,kama kajifunza,apande ndege kwao. Kweli jamali mainzi
 
Mechi 5 tumefungwa goli 10.
Hatujafunga goli hata moja.
Tunao wafungaji bora kwenye ligi yetu kwenye hicho kikosi ambacho kimeshindwa kufunga hata goli moja ktk mechi tano!
Sasa hapa tujiulize ni kweli tunao wafungaji bora au tuna mabeki wabovu kwenye ligi yetu, ambao ndio wamefanya hao waonekane ni wafungaji wazuri? Wanapokutana na mabeki wazuri wanashindwa kufurukuta? Hii ni rekodi ya ajabu, mechi tano hata goli la kuotea?!
 
mimi nimeona mechi ijayo bora tubadilishe jezi tuva batiki labda tutashinda...
 
Ndio madhara ya vilabu vilivyojaza wachezaji humo kununua mechi na kupata top two. Kocha anadanganyika akidhani wanajua mpira kumbe wapinzani wamenunuliwa na kucheza chini ya kiwango, mara unasikia mtu ameshinda 8-0

Malinzi bado anaruhusu wachezaji kumi wa kigeni kwenye ligi. ni ujingaaa
 
Mwambusi, Makata, Mkwasa, Kibadeni, Minziro, Mtumwa, Julio, yule Msoja kocha wa Ndanda, Masanja,.... Kweli tumekosa mmoja wa Kumpa timu tunampa huyo mzee asiyefuatilia hata ligi ya Nyumbani maana nahisi hajui kuwa baadhi ya first eleven wake ni wasugua bench!! Halafu unampa usaidiz kocha ambaye ameshindwa kuperfom na kashfa kibao... Bongo bhna
 
Jamani mnalumbana tu,wengine tuko mbali hatujaona mechi,kwani tumefungwa ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…