Wazawa ndiyo mbuzi kabisa mfano kocha kama julio unategemea nini labda tukianzisha kombe la ubishi na maneno hapo wazawa wanaweza kutufikisha mbali,
Huwa nasema siku zote hatuwezi kuwa na timu ya taifa nzuri wakati virabu vyetu hovyo haitatokea kamwe labda mungu awe na upendeleo atupendelee maksudi.