Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,841
<br />its seems tha u also use MASABURI right?
<br />
definetly the boom
<br />its seems tha u also use MASABURI right?
<br /><br /><br />
<br /><br />
imekuwaje hadi umeandika imeua watu 40?
<br />mpaka sasa wamefariki watu 8.Jamani aliyepost hii thread anapenda kusikia vifo sana,mbona anasema watu 40?
Nyani Ngabu hivi unapoanza safari huwa unajua ni nini kinaweza kutokea ukiwa safarini?kwa hyo ikitokea siku moja na wewe ukafa ajarini utakuwa umejitakia siyo?
Kuanzia leo nitakudharau sana na ntakudisapprove katika komenti zako zote,hauna tofauti na Mramba,Makamba,Masaburi n.k
Mungu atawalinda maiti?Mungu atawalinda
barabara ya Tanzania haina sheria na watu hawajali usalama wao.... barabara inatakiwa iwe at least 2 lanes kuruhusu kuovertake
That is very cold.Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
barabara ya Tanzania haina sheria na watu hawajali usalama wao.
Hii mgoma iko pale Salasala au toka njia panda ya kwenda IPTL unashuka kuitafuta Tegeta magengeni. Huu mchezo uko sana eneo ilo na haswa mida ya jioni watu wanatoka makazini. Huwa kuna bonge la foleni hapo. Yote hii husababishwa na lile soko la Tegeta ambao mchana ni kama halipo maana kuna sheria ikifika jioni sheria zimeenda kulala na watendaji hawapo! Sipendi sana hao wanaotanua maana ajali huwa nje nje!!