King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,412
- 88,731
Poleni kwa ajari kwa ndugu ambao wamefikwa na msiba/majeruhi..
duu mkubwa kwa hili nimekushusha labda unipe sababu ya kusema hayo..
?????????? hii ni ya wakala wa vifoAcha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
Nini chanzo cha ajali
Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
<br />Kuna ajali imetokea maeneo ya Nala umbali kdg tokea Dodoma, habari ni kwamba imeua watu weng. Gari ilikua ikitokea Mwanza kwenda Dar.
its seems tha u also use MASABURI right?Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.