Kwa kweli ajali isikie mwenzako kafikwa nayo au ndugu wa mwenzako basi wangekuwa ni ndugu zako wamepata hiyo ajali wala usingelopoka kuwa wacha wafe. Unajaua inawezekana wewe ni mmoja wa wale waliofanoikiwa kupata magari ya mitumba kutokana kuwaibia watanzania hivyo kudhani kila mtu asiye kuwa na gari ni mjinga.. TUSIOMBE NDUGU ZANGU AJALI MBAYA SANA. MUNGU AWAPE FARAJA WOTE NDUGU WA W WA WALIOPOTEZA MAISHA NA KUGANGA MAJERAHA YA WALIOPATA MAJERAHAShida ninayoiona siyo VETA shida ni madereva kuizoea kazi kupita kiasi na kupuuzia alama za barabarani ikichagizwa na mwendo kasi, ubovu wa matairi, ubahiri wa matajiri kubadili mipira n.k
Mkuu usiombee na usiseme kitu kama hicho, kama ni dereva hata wa private yako utakuwa umeshawahi kupata kaajali hata uchwara je ulijitakaia?
Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
Nini chanzo cha ajali
Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
Tatizo la ajali hapa kwetu ni madereva. Hawa jamaa wanadharau hii kazi kiasi kwamba hawawezi kukaa darasani angalau hata mwezi mmoja wakapate elimu ya nidhamu ya barabarani.
Wangekuwa wanapitia VETA angalau ajali zisingekuwa nyingi.
Mfano mzuri ni madereva wanaotokea nchi za jirani kuja kwetu, mbona hawapati ajali?
Udereva jamani ni taaluma na ustadi, vyote hivyo vinapatikana VETA.
Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.
duu mkubwa kwa hili nimekushusha labda unipe sababu ya kusema hayo..Acha tu waendelee kufa. Wanayataka wenyewe.