Wakuu CCJ wamenza kuwekewa kiwingu.
Hivi haiwezekani hiyo CCJ kuwaomba wanachama wake toka hiyo mikoa 8 ya Bara na Miwili huko Visiwani kwenda Ofisini kwa Mrajisi ili aweze kuwa hakiki?
Mfano wa Dar labda Jumatatu, Moro - Jumanne, Dodoma - J'tano, Aruisha - Alhamisi, Kilimanjaro - Ijuma, Tanga - Jumatatu inayo fuatia, Iringa - Jumanne nk nk , wamuulize tu waje na vitambulisho gani na barua gani za nyumba kumi kumi?
Au CCJ wamkopeshe mrajisi hela za usafiri za hao makarani wake wakafanye uhakiki.
Wakuu CCJ wamenza kuwekewa kiwingu.
Hivi haiwezekani hiyo CCJ kuwaomba wanachama wake toka hiyo mikoa 8 ya Bara na Miwili huko Visiwani kwenda Ofisini kwa Mrajisi ili aweze kuwa hakiki?
Mfano wa Dar labda Jumatatu, Moro - Jumanne, Dodoma - J'tano, Aruisha - Alhamisi, Kilimanjaro - Ijuma, Tanga - Jumatatu inayo fuatia, Iringa - Jumanne nk nk , wamuulize tu waje na vitambulisho gani na barua gani za nyumba kumi kumi?
Au CCJ wamkopeshe mrajisi hela za usafiri za hao makarani wake wakafanye uhakiki.
ukijibu kama hivyo unakuwa umemsaidia au kumkomoa?we kinakuuma nini? Au ndio walewale?
ukijibu kama hivyo unakuwa umemsaidia au kumkomoa?we kinakuuma nini? Au ndio walewale?
Kawaida ya wabongo, kukatisha tamaa tu. Mkuu mimi hata kama sipo CCJ wala CCM wala CHADEMA usumbufu wowote usio wa lazima ambao unaonekana wa wazi huwa sifurahishwi nao. Yawezekana aliyemjibu pia ni mmoja wa wafanyakazi wa Tendwa, fungua machoukijibu kama hivyo unakuwa umemsaidia au kumkomoa?
Kawaida ya wabongo, kukatisha tamaa tu. Mkuu mimi hata kama sipo CCJ wala CCM wala CHADEMA usumbufu wowote usio wa lazima ambao unaonekana wa wazi huwa sifurahishwi nao. Yawezekana aliyemjibu pia ni mmoja wa wafanyakazi wa Tendwa, fungua machoukijibu kama hivyo unakuwa umemsaidia au kumkomoa?
hahahahahahhahahaha...safi sana...Kawaida ya wabongo, kukatisha tamaa tu. Mkuu mimi hata kama sipo CCJ wala CCM wala CHADEMA usumbufu wowote usio wa lazima ambao unaonekana wa wazi huwa sifurahishwi nao. Yawezekana aliyemjibu pia ni mmoja wa wafanyakazi wa Tendwa, fungua macho
hahahahahahhahahaha...safi sana...Kawaida ya wabongo, kukatisha tamaa tu. Mkuu mimi hata kama sipo CCJ wala CCM wala CHADEMA usumbufu wowote usio wa lazima ambao unaonekana wa wazi huwa sifurahishwi nao. Yawezekana aliyemjibu pia ni mmoja wa wafanyakazi wa Tendwa, fungua macho
kauli yake ya kutabiri kama sheikh Yahya ndio inaonyesha picha ya mizengwe yake.Mbona haujaeleweka mzee. Hujaweka evidence yeyote ku-justify hiyo mizengwe!!!