Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Kujiuzulu kwa RA, kumesababisha niwaze jambo hili. Endapo chama chochote kitapungukiwa na wabunge wake ama kwa kujiuzuru, kufukuzwa n.k. Ni nini uwiano wa viti maalu? Je, viti maalum vitapunguzwa? Na ikiwa hivyo kwa kambi ya upinzani na hatimaye idadi isipotimia inakuwaje? Hebu mnisaidie kwa hili