masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 788
Mi simshangai Bana maana anatumikia mfumo uliompa ulaji. Hana jipya
Hangover ya kukulia katika mfumo wa chama kimoja. Unfortunately, it is too late for him to change. Kwamba hataki mabadiliko haimanishi kwamba hayatatokea.
Mi simshangai Bana maana anatumikia mfumo uliompa ulaji. Hana jipya
Mkuu kila nikiiona hii avatar huwa nashtuka sana. Naona kama namuona.
bana kasema kweli chadema bado sana kupewa nchi[/QU Bana ni mwana CCM Pamoja na wewe,unategemea chongo kuona horizon? Wapo wasomi wachache km Dr Kitila Mkumbo,wanaochambua hoja,huyo Bana ndo ukomo wake,hawezipata u-Prof,tafiti zake ht za karibuni tu hapa ni chongo tupu! Mabadiliko ni lazima,there's no altenaltive,watakaombadili CCM nao wakiharibu watabadilishwa,this is nt a dynest,na wewe unaonekana ni kijana tu,lkn unasikitisha,hopful mtaelewa,mazoea yanawafanya mjisahau,kuwajibika is paramount to our well being!
hakuna utafiti wowowte anaofanya zaidi ya kuwa-brainwashed by his masters
yani bado mnalisikiliza hili zee,.of course hakuna mbadala kwenye mavazi,minguo ya njano na kijani wanavaa wao tu..nyambaf
Nimekuwa nikisema na nitaendelea kusema kuna tatizo Tanzania na linaanzia kwenye kada ya wasomi.. hasa wa miaka ya zamani, tazama mikataba yetu ya uwekezaji kwenye sekta ya madini.. halafu mwingine msomi anaibuka na kusema hakuna mbadala wa ccm karidhika na utendaji wake.. nina mashaka sana na Dr Benson na mwenzake Prof MukandaraAkiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
Akiongea katika tuongee asubuhi kupitia Star Tv,yule msomi wetu wa Redet Dr Bana amesema yeye mpaka sasa ajaona chama mbadala cha kuongoza nchi zaidi ya CCM,nadhani hizi ni dalili mbaya kwa wasomi wetu.Badala ya kuwasaidia watanzania kujua haki zao za msingi yeye anasema hakuna wa kuiongoza hii nchi..
bana kasema kweli chadema bado sana kupewa nchi