hii thread ni nzuri sana kwa wana sisiem.... jitokezeni mchangie mada muhimu inayohusu kukinusuru chama chenu.... hii itakua kipimo pia cha lawama za mara nyingi kwamba JF ni ya pro CHADEMA.... msipochangamkia thread hii itadhahirisha uzaifu wa members wa sisiem at JF... kina Hiza Tambwe tungefurahi kuona maoni yao
HizaTambwe ana maoni gani, si kiazi tu.