Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Wamiliki Wa vyombo vya usafiri nchini( mabasi, daladala, na bajaji) wamesema wataanza mgomo Wa kutosafirisha abiria kuanzia wiki ijayo Jumanne kupinga sheria kandamizi ambayo imepelekwa bungeni ili ipitishwe na kuanza kutumika.
Wakiongea kupitia taarifa ya habari ITV wamesema sheria hiyo kandamizi hawajashirikishwa kuiandaa na kuomba wabunge kutoipitisha.
Wamedai sheria hiyo haijatoa ufanunuzi Wa makosa gani yanayo muhusu dereva au mmiliki Wa Gari hivyo Kosa ambalo analoweza kufanya Dereva linaweza kumfunga mmiliki wa gari.
Kutokana na upungufu huo wameona kuna mtego Wa panya wametegewa jambo linaloweza kuwatia hatiani.
Wakiongea kupitia taarifa ya habari ITV wamesema sheria hiyo kandamizi hawajashirikishwa kuiandaa na kuomba wabunge kutoipitisha.
Wamedai sheria hiyo haijatoa ufanunuzi Wa makosa gani yanayo muhusu dereva au mmiliki Wa Gari hivyo Kosa ambalo analoweza kufanya Dereva linaweza kumfunga mmiliki wa gari.
Kutokana na upungufu huo wameona kuna mtego Wa panya wametegewa jambo linaloweza kuwatia hatiani.