ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Wachawi wanabadilishana uzoefu.Mkuu umeona mbali!
Wachawi wanabadilishana uzoefu.Mkuu umeona mbali!
Au kuwaadhibu mashangazi wa wanasiasa wake ?Serikali makini inaweza shindwa kuwashitaki watu waliokiri hadharani kupanga kutenda jinai??
Je hii vipi? Serikali inaweza kuwateka RAIA wake au kuwapoteza???
Matusi hayakisaidii chama chako wala hao watekaji bali ndio yanakivua nguo zaidi!Wewe na mbwa wenzio wa lumumba ndio mnaohitaji kujitambua.
Hahahaa...... Siye tunasubiri kumsikia IGP kesho mkutanoni na waandishi!Wachawi wanabadilishana uzoefu.
Na wale waliositisha uokoaji wa walipokuwa bado hai kwenye Mv Nyerere kwa kusingizia GizaKama walivyomsamehe Chenge na kina Ngeleja kwa sababu ni wa kaskazini.
Yule ni mchawi na mlumumba mwenzenu hata watoto walishuhudia salamu za mwakilishi wa IGP kule Butiama.Hahahaa...... Siye tunasubiri kumsikia IGP kesho mkutanoni na waandishi!
Waanza na ma(dereva) aliyesema Mo kapatikn alafu akkanushachadema ni ulojo tu,lazima serkali iwakamate kubenea na komu
Una point mkuu!chadema ni ulojo tu,lazima serkali iwakamate kubenea na komu
hivi unajua ishu ya mo ina uzi wake maana soon utaleta ya lisu then ya saanane hapa mmekamatwa uchawi naona mnalukaluka tuWaanza na ma(dereva) aliyesema Mo kapatikn alafu akkanusha
Vp lkn huyu huyu ma dereva ishu ya makontena imefik waphivi unajua ishu ya mo ina uzi wake maana soon utaleta ya lisu then ya saanane hapa mmekamatwa uchawi naona mnalukaluka tu
ishu ni komu na kubenea kuteka watu
Hivi vyama vya upinzani viangaliwe kwa umakini mkibwa!hivi unajua ishu ya mo ina uzi wake maana soon utaleta ya lisu then ya saanane hapa mmekamatwa uchawi naona mnalukaluka tu
ishu ni komu na kubenea kuteka watu
nimeambiwa komu na kubenea walikuwa wamekewa sana hivyo na ww unaweza ukawa hivyo maana sikuelewi kama unaelewa madaVp lkn huyu huyu ma dereva ishu ya makontena imefik wap
Unataka Nan aviangalie????Hivi vyama vya upinzani viangaliwe kwa umakini mkibwa!
chadema huwa wanajilipua wanasema ccm kumbe pia wanateka wansema ccmHivi vyama vya upinzani viangaliwe kwa umakini mkibwa!
subili matokeo ya polisi juu ya komu na kubeneaUnataka Nan aviangalie????
kwa hiyo Lowasa ni fisadi na amesamehewa na chadema na serikali imekaa kimya.hivyo chadema wakimsamehe mwizi wa mali ya umma serikali itakaa kimyaChadema wakipewa nchi watasamehe mafisadi wote, ona mfano walivyomsamehe fisadi Lowasa
Na kama hayo mauaji ya Boniface Jacob yangefanikiwa lazima wangesingizia serikali.
Hovyo kabisa
Bavicha wanakanyagana Komu kawatenda........masikini Ben!nimeambiwa komu na kubenea walikuwa wamekewa sana hivyo na ww unaweza ukawa hivyo maana sikuelewi kama unaelewa mada