johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Nyie vijana wa lumumba mnataka nn Zaid ????Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Mbona mmepanic sana?Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Foolish foolNajiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Kamanda usitetemeke ngoja wakili wenu Petro Mselewa aje anijibu!Mbona mmepanic sana?
Jinai zote zinashughulikiwa na vyombo vya dola na siyo Chadema.
Hivi intelligensia yenu huwa inaishia kukataza maandamano na mikutano ya kisiasa tu?
Kazi ya kushughulika na jinai ni ya jeshi la Polisi na siyo Chadema mbumbumbu wewe.
Matusi siyo majawabu!Foolish fool
Swali kuntu hili.Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Akujibu mpuuzi kama ww, nani ana huo mudaKamanda usitetemeke ngoja wakili wenu Petro Mselewa aje anijibu!
Ukisikia kuishiwa ndio huku..... Pale ulichiotamani kiwe kimekwama, unalazimika kulialia humu. Haikusaidii ndugu yangu. Ni maneno ya mkosaji tu hayo.....Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Pengo la wanasheria nguli Tundu na Marando linaathiri sana maamuzi pale Ufipa!Akujibu mpuuzi kama ww, nani ana huo muda
Hahahaa.....!!Lumumba mnapata tabu sana!.....CDM wamewashida pazuri
Saiv huo wa sheria upo.Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Mkuu umeona mbali!Chadema wakipewa nchi watasamehe mafisadi wote, ona mfano walivyomsamehe fisadi Lowasa
Na kama hayo mauaji ya Boniface Jacob yangefanikiwa lazima wangesingizia serikali.
Hovyo kabisa
Serikali makini inaweza shindwa kuwashitaki watu waliokiri hadharani kupanga kutenda jinai??Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Kwa hiyo ulitakaje wewe??Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Kama walivyomsamehe Chenge na kina Ngeleja kwa sababu ni wa kaskazini.Chadema wakipewa nchi watasamehe mafisadi wote, ona mfano walivyomsamehe fisadi Lowasa
Na kama hayo mauaji ya Boniface Jacob yangefanikiwa lazima wangesingizia serikali.
Hovyo kabisa