Mbwiga democracy na jinai wapi na wapi?!!!.....Kutekana ni mambo ya kishamba by Hashimu Rungwe!Jinga kabisa wewe hata kama unalipwa ndio uje na bandiko la kipopoma hivi? Nini maana ya democracy?
mambosasa ameapa kiwakamata mtajijua na misamaha yenu ya kipuuziKAMA HAWAWEZI ITISHA PRESS MAANA WAMESHASAMEHEWA
Tatizo la PAKA wa Lumumba huwa wanaona kuwa Serikali, Jeshi, Police nk ni mali ya CCM ...... hivyo wanafikiri kuwa CDM nao wanatakiwa wawe na vyombo vyao!!Mbona mmepanic sana?
Jinai zote zinashughulikiwa na vyombo vya dola na siyo Chadema.
Hivi intelligensia yenu huwa inaishia kukataza maandamano na mikutano ya kisiasa tu?
Kazi ya kushughulika na jinai ni ya jeshi la Polisi na siyo Chadema mbumbumbu wewe.
Iwakabidhi kwenye vyombo vya dola........Kutekana ni mambo ya kishamba by Hashimu Rungwe!Kwa hiyo ulitaka CDM iwahukumu kwenda jela?
Mambosasa ameshaingilia kati tusubiri tu!Tatizo la PAKA wa Lumumba huwa wanaona kuwa Serikali, Jeshi, Police nk ni mali ya CCM ...... hivyo wanafikiri kuwa CDM nao wanatakiwa wawe na vyombo vyao!!
Usijitoe fahamu kuku jike wewe, umesahau kuna watu walitandikana bakora kwenye kura za maoni?Najiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
kama magu alivyowasamehe mafisadi chenge,lowassa na wezi wa nyumba za serikaliChadema wakipewa nchi watasamehe mafisadi wote, ona mfano walivyomsamehe fisadi Lowasa
Na kama hayo mauaji ya Boniface Jacob yangefanikiwa lazima wangesingizia serikali.
Hovyo kabisa
Hivi mumeo na wazazi wako wakiona huu ujinga watakasirika sanaLakini nyie bavichaaa mnajisikiaje kuteua mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame ya chadema.???
Jibu Hoja ww mbona unatumia kichwa chako kwa kufugua nywele tu????Nyie vijana wa lumumba mnataka nn Zaid ????
Au ndo buku 7 zinawawasha???
Nyie mpk Sasa mmefukuza mafisad wangap???
Utajibuje pumba tu alizoandika????Jibu Hoja ww mbona unatumia kichwa chako kwa kufugua nywele tu????
Kwani iyo CCM inafanya nini kila siku mbona inateka watu mbona haichukui hatua, unapumuliwa kichogoni niniNajiuliza tu.......na endapo chama hiki kitapewa dhamana ya kuongoza nchi patakuwepo na utawala wa sheria kweli?!!!!! Naomba niishie hapo tafadhali!
Kama inavofanya CCMChadema wakipewa nchi watasamehe mafisadi wote, ona mfano walivyomsamehe fisadi Lowasa
Na kama hayo mauaji ya Boniface Jacob yangefanikiwa lazima wangesingizia serikali.
Hovyo kabisa
Vp kusamehewa kwa chenge tibaijuka et al ccm?Chadema wakipewa nchi watasamehe mafisadi wote, ona mfano walivyomsamehe fisadi Lowasa
Na kama hayo mauaji ya Boniface Jacob yangefanikiwa lazima wangesingizia serikali.
Hovyo kabisa