Chadema ndicho chama pekee kikubwa kuliko vyote ambacho kina support ya wananchi kwa mapemzi ya kutoka moyoni.
CCM iko kwa sababu ya polisi ma watu kutafuta RIZIKI. CCM ikitoka madarakani hutamuona mtu kule.
CHADEMA IPO BILA RUZUKU, BILA BIASHARA LAKINI WATU WANAIKIMBILIA NA KUIAMINI NA KUICHANGIA TONE TONE. WAKIWA NA IMANI KUWA INATETEA MUSTAKABALI MWEMA WA NCHI YA TANGANYIKA/TANZANIA.
It is a matter of time CCM itakuwa kama KANU, ZANU na vingine kama hivyo
CHADEMA NI IMANI
CCM iko kwa sababu ya polisi ma watu kutafuta RIZIKI. CCM ikitoka madarakani hutamuona mtu kule.
CHADEMA IPO BILA RUZUKU, BILA BIASHARA LAKINI WATU WANAIKIMBILIA NA KUIAMINI NA KUICHANGIA TONE TONE. WAKIWA NA IMANI KUWA INATETEA MUSTAKABALI MWEMA WA NCHI YA TANGANYIKA/TANZANIA.
It is a matter of time CCM itakuwa kama KANU, ZANU na vingine kama hivyo
CHADEMA NI IMANI