#COVID19 Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) waitaka serikali itoe takwimu za Covid-19

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Baada ya Wizara ya Afya kutoa tahadhari ya kuwepo kwa viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid 19, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk Shedrack Mwaibambe ameshauri Serikali kuweka wazi hali ya ugonjwa huo nchini.

Akizungumza na Mwananchi jana Jumapili Juni 20, 2021 Dk Mwaibambe alisema ipo haja kwa Serikali kuweka wazi kuwa ugonjwa huo upo nchini na taasisi nyingine ziungane kupambana nao.

“Ukisema kuna viashiria mtu anaweza asishtuke na akaendelea na maisha yake kama kawaida, kama ugonjwa upo Serikali ina jukumu la kuwalinda wananchi wake kwa kueleza wazi.

“Pia mapambano dhidi ya Covid 19 hayapaswi kuwa ya Serikali pekee, lazima taasisi nyingine zisaidie, mfano taasisi za dini, elimu na nyingine zinazohusisha mikusanyiko ziwekeze nguvu kuelimisha watu kuchukua tahadhari,” alisema.

Alieleza kuwa endapo takwimu na elimu ya kujikinga itatolewa kila mahala kwa kiasi kikubwa itasaidia watu kuchukua tahadhari.

Akizungumzia hilo, Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi alieleza Serikali itaendelea kutoa taarifa thabiti kuhusu janga hilo.

“Mabadiliko ya tabia yanaweza kuathiriwa na kuendeleza kampeni ya uelimishaji wa umma na elimu, na kwa msaada wa vyombo vya habari tuna imani kuwa watu wangeanza kuchukua suala hili kwa uzito,”

Dk Subi alisema ni wakati wa wadau kutoka sekta ya umma na binafsi kutoa maoni ya hatua sahihi za kufuata ili kujikinga na ugonjwa huo.

Alieleza Serikali kupitia wizara itaendelea kuchukua hatua nyingine dhidi ya ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama wa mipaka na upimaji wa Covid-19 katika viwanja vya ndege na vituo vya mipakani.

Licha ya mara kadhaa viongozi wa Serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan kuwataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo, watu wamekuwa wazito kuzingatia.

Mwananchi imeshuhudia watu wakiwa katika maeneo yenye misongamano bila kuchukua tahadhari ikiwemo kuvaa barakoa wala kupeana nafasi. Baadhi ya wananchi waliozungumza walieleza suala la ugonjwa huo wameliacha mikononi mwa Mungu kama ambavyo Serikali imekuwa ikielekeza.

Katika maeneo mengi ya biashara, stendi za mabasi hakuna ndoo za maji wala sabuni au matenki yenye maji tiririka kwa ajili ya watu kunawa mikono.
 
Hizo takwimu zinatusaidia nini?

Corona ipo na itaendelea kuwepo kwa muda mrefu tu.

Hakuna sababu ya kupoteza muda kuambiana hapa idadi ya walioambukizwa.

Tuambiwe na takwimu za Malaria ambayo inaua watu wengi zaidi Tanzania kuliko ugonjwa wowote ule.

Takwimu ni nonsense.
 
Hizo takwimu zinatusaidia nini?

Corona ipo na itaendelea kuwepo kwa muda mrefu tu.

Hakuna sababu ya kupoteza muda kuambiana hapa idadi ya walioambukizwa.

Tuambiwe na takwimu za Malaria ambayo inaua watu wengi zaidi Tanzania kuliko ugonjwa wowote ule.

Takwimu ni nonsense.
IMG_20210519_190156.jpg
 
Nenda uwaambie hao madaktari uchwara kwamba kwa sasa hawana tija katika nchi hii.

Wangekuwa wana akili timamu, wakati huu wangekuwa wanajibidisha na kuchakarika kutengeneza chanjo na madawa ya ndani badala ya kukaa kitako na kudalalia machanjo ya uzunguni.

Lakini nafahamu hawana uwezo wala stadi za kisayansi za kutengeneza chochote.

Wanachoweza ni kugawa dozi na kukariri majina ya dawa zilizotengenezwa na wanasayansi wa uhakika kutoka nchi zinazojitambua.

Hawa ni makasuku tu waliokariri vitini darasani, lakini hakuna sayansi yoyote wanayoijua.

Maelezo yao ni sawa na ramli za kienyeji tu. Tumewapuuza kama ambavyo tumezipuuza hizo chanjo zao zenye sumu.

Wasituletee ujinga wa mabarakoa hapa!
 
Mwendazake kwingine alivurunda Sana, ila Kwenye suala la CORONA Nampa BIG UP Sana.

Alikua smart Sana kwa maslahi mapana ya taifa.

Ukilinganisha athari za corona kwetu na kwa wenzetu walokua wanatoa TAKWIMU KILA kukicha, UNAGUNDUA kua bado Tanzania tuna Nafuu Sana.

Mungu ampe maisha marefu sn JPM uko aliko
 
Miezi michache iliyopita, hawakuweza hata kutamka neno COVID-19. Leo eti wanajifanya mashujaa. Wanyamaze tu kama walivyofanya huko nyuma. Nitawasikiliza wanasheria (TLS) kwa sababu walilizungumzia hili jambo bila woga hata wakati wa udikiteta.
Baada ya Wizara ya Afya kutoa tahadhari ya kuwepo kwa viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid 19, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk Shedrack Mwaibambe ameshauri Serikali kuweka wazi hali ya ugonjwa huo nchini.

Akizungumza na Mwananchi jana Jumapili Juni 20, 2021 Dk Mwaibambe alisema ipo haja kwa Serikali kuweka wazi kuwa ugonjwa huo upo nchini na taasisi nyingine ziungane kupambana nao.

“Ukisema kuna viashiria mtu anaweza asishtuke na akaendelea na maisha yake kama kawaida, kama ugonjwa upo Serikali ina jukumu la kuwalinda wananchi wake kwa kueleza wazi.

“Pia mapambano dhidi ya Covid 19 hayapaswi kuwa ya Serikali pekee, lazima taasisi nyingine zisaidie, mfano taasisi za dini, elimu na nyingine zinazohusisha mikusanyiko ziwekeze nguvu kuelimisha watu kuchukua tahadhari,” alisema.

Alieleza kuwa endapo takwimu na elimu ya kujikinga itatolewa kila mahala kwa kiasi kikubwa itasaidia watu kuchukua tahadhari.

Akizungumzia hilo, Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi alieleza Serikali itaendelea kutoa taarifa thabiti kuhusu janga hilo.

“Mabadiliko ya tabia yanaweza kuathiriwa na kuendeleza kampeni ya uelimishaji wa umma na elimu, na kwa msaada wa vyombo vya habari tuna imani kuwa watu wangeanza kuchukua suala hili kwa uzito,”

Dk Subi alisema ni wakati wa wadau kutoka sekta ya umma na binafsi kutoa maoni ya hatua sahihi za kufuata ili kujikinga na ugonjwa huo.

Alieleza Serikali kupitia wizara itaendelea kuchukua hatua nyingine dhidi ya ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama wa mipaka na upimaji wa Covid-19 katika viwanja vya ndege na vituo vya mipakani.

Licha ya mara kadhaa viongozi wa Serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan kuwataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo, watu wamekuwa wazito kuzingatia.

Mwananchi imeshuhudia watu wakiwa katika maeneo yenye misongamano bila kuchukua tahadhari ikiwemo kuvaa barakoa wala kupeana nafasi. Baadhi ya wananchi waliozungumza walieleza suala la ugonjwa huo wameliacha mikononi mwa Mungu kama ambavyo Serikali imekuwa ikielekeza.

Katika maeneo mengi ya biashara, stendi za mabasi hakuna ndoo za maji wala sabuni au matenki yenye maji tiririka kwa ajili ya watu kunawa mikono.
 
Corona ipo na itaendelea kuwepo kwa muda mrefu tu.

Hakuna sababu ya kupoteza muda kuambiana hapa idadi ya walioambukizwa..
Actually, hata huo uwepo wa corona una mashaka.

Hakuna ugonjwa unaoitwa corona katika dunia hii. Ni maigizo ya kitapeli tu yanayochagizwa na ajenda ovu za wazungu na vibaraka wao.

Hawa unaowaona wanalilia chanjo humu mitandaoni na kwenye TV ni madalali tu wa hayo machanjo uchwara kutoka uzunguni. Lengo ni kupata mikopo ya dezo dezo na kutumika kama mawakala wa ajenda za kifisadi za magharibi.

We shall prevail and get through this nonsense!

Hawa ni makanjanja tu wanaouhadaa ulimwengu kwa magonjwa feki!
 
Actually, hata huo uwepo wa corona una mashaka.

Hakuna ugonjwa unaoitwa corona katika dunia hii. Ni maigizo ya kitapeli tu yanayochagizwa na ajenda ovu za wazungu na vibaraka wao.

Hawa unaowaona wanalilia chanjo humu mitandaoni na kwenye TV ni madalali tu wa hayo machanjo uchwara kutoka uzunguni. Lengo ni kupata mikopo ya dezo dezo na kutumika kama mawakala wa ajenda za kifisadi za magharibi.

We shall prevail and get through this nonsense!

Hawa ni makanjanja tu wanaouhadaa ulimwengu kwa magonjwa feki!
Jina lako limenikumbusha jamaa mmoja anaitwa Lorenzo Fat Cat Nichols na Howard Papy Mason.

Anyway, but to the topic hakuna umuhimu wa kupeana idadi ya wangonjwa, hakuna sababu.
 
Baada ya Wizara ya Afya kutoa tahadhari ya kuwepo kwa viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid 19, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk Shedrack Mwaibambe ameshauri Serikali kuweka wazi hali ya ugonjwa huo nchini.

Akizungumza na Mwananchi jana Jumapili Juni 20, 2021 Dk Mwaibambe alisema ipo haja kwa Serikali kuweka wazi kuwa ugonjwa huo upo nchini na taasisi nyingine ziungane kupambana nao.

“Ukisema kuna viashiria mtu anaweza asishtuke na akaendelea na maisha yake kama kawaida, kama ugonjwa upo Serikali ina jukumu la kuwalinda wananchi wake kwa kueleza wazi.

“Pia mapambano dhidi ya Covid 19 hayapaswi kuwa ya Serikali pekee, lazima taasisi nyingine zisaidie, mfano taasisi za dini, elimu na nyingine zinazohusisha mikusanyiko ziwekeze nguvu kuelimisha watu kuchukua tahadhari,” alisema.

Alieleza kuwa endapo takwimu na elimu ya kujikinga itatolewa kila mahala kwa kiasi kikubwa itasaidia watu kuchukua tahadhari.

Akizungumzia hilo, Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi alieleza Serikali itaendelea kutoa taarifa thabiti kuhusu janga hilo.

“Mabadiliko ya tabia yanaweza kuathiriwa na kuendeleza kampeni ya uelimishaji wa umma na elimu, na kwa msaada wa vyombo vya habari tuna imani kuwa watu wangeanza kuchukua suala hili kwa uzito,”

Dk Subi alisema ni wakati wa wadau kutoka sekta ya umma na binafsi kutoa maoni ya hatua sahihi za kufuata ili kujikinga na ugonjwa huo.

Alieleza Serikali kupitia wizara itaendelea kuchukua hatua nyingine dhidi ya ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama wa mipaka na upimaji wa Covid-19 katika viwanja vya ndege na vituo vya mipakani.

Licha ya mara kadhaa viongozi wa Serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan kuwataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo, watu wamekuwa wazito kuzingatia.

Mwananchi imeshuhudia watu wakiwa katika maeneo yenye misongamano bila kuchukua tahadhari ikiwemo kuvaa barakoa wala kupeana nafasi. Baadhi ya wananchi waliozungumza walieleza suala la ugonjwa huo wameliacha mikononi mwa Mungu kama ambavyo Serikali imekuwa ikielekeza.

Katika maeneo mengi ya biashara, stendi za mabasi hakuna ndoo za maji wala sabuni au matenki yenye maji tiririka kwa ajili ya watu kunawa mikono.
Mabozozo hawa, waendelee kufunga midomo yao.
Mbona walifyata mikia kipindi cha mwendazake? Kwanza ni COVID au changamoto za upumuaji? Hawa si ndo walikua wanaita changamoto za upumuaji?
Mapoyoyo tu hawa, hawastahili kusikilizwa.
 
Nenda uwaambie hao madaktari uchwara kwamba kwa sasa hawana tija katika nchi hii.

Wangekuwa wana akili timamu, wakati huu wangekuwa wanajibidisha na kuchakarika kutengeneza chanjo na madawa ya ndani badala ya kukaa kitako na kudalalia machanjo ya uzunguni.

Lakini nafahamu hawana uwezo wala stadi za kisayansi za kutengeneza chochote.

Wanachoweza ni kugawa dozi na kukariri majina ya dawa zilizotengenezwa na wanasayansi wa uhakika kutoka nchi zinazojitambua.

Hawa ni makasuku tu waliokariri vitini darasani, lakini hakuna sayansi yoyote wanayoijua.

Maelezo yao ni sawa na ramli za kienyeji tu. Tumewapuuza kama ambavyo tumezipuuza hizo chanjo zao zenye sumu.

Wasituletee ujinga wa mabarakoa hapa!
Mzee polepole ukiugua Ni hao hao unaowaita kasuku wataokoa maisha yako
 
... nchi ya ajabu sana hii! Kupima hawataki, wanasikilizia takwimu za nchi jirani na kuzitumia kutahadharisha wananchi! Eti hali ya Covid nchi jirani sio nzuri hivyo wananchi wachukue tahadhari; na wao wasingepima na kuziweka hadharani mngetumia takwimu zipi?

Ni aibu kwa serikali kuwa na malimbukeni dizaini hii! Ni sawa na mwanaume anayetumia taarifa za vipimo vya ukimwi za mkewe kujitathamini kama na yeye ameathirika au la ila kupima hataki! Oneni aibu kutumia reference "nchi jirani".
 
Baada ya Wizara ya Afya kutoa tahadhari ya kuwepo kwa viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid 19, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk Shedrack Mwaibambe ameshauri Serikali kuweka wazi hali ya ugonjwa huo nchini.

Akizungumza na Mwananchi jana Jumapili Juni 20, 2021 Dk Mwaibambe alisema ipo haja kwa Serikali kuweka wazi kuwa ugonjwa huo upo nchini na taasisi nyingine ziungane kupambana nao.

“Ukisema kuna viashiria mtu anaweza asishtuke na akaendelea na maisha yake kama kawaida, kama ugonjwa upo Serikali ina jukumu la kuwalinda wananchi wake kwa kueleza wazi.

“Pia mapambano dhidi ya Covid 19 hayapaswi kuwa ya Serikali pekee, lazima taasisi nyingine zisaidie, mfano taasisi za dini, elimu na nyingine zinazohusisha mikusanyiko ziwekeze nguvu kuelimisha watu kuchukua tahadhari,” alisema.

Alieleza kuwa endapo takwimu na elimu ya kujikinga itatolewa kila mahala kwa kiasi kikubwa itasaidia watu kuchukua tahadhari.

Akizungumzia hilo, Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi alieleza Serikali itaendelea kutoa taarifa thabiti kuhusu janga hilo.

“Mabadiliko ya tabia yanaweza kuathiriwa na kuendeleza kampeni ya uelimishaji wa umma na elimu, na kwa msaada wa vyombo vya habari tuna imani kuwa watu wangeanza kuchukua suala hili kwa uzito,”

Dk Subi alisema ni wakati wa wadau kutoka sekta ya umma na binafsi kutoa maoni ya hatua sahihi za kufuata ili kujikinga na ugonjwa huo.

Alieleza Serikali kupitia wizara itaendelea kuchukua hatua nyingine dhidi ya ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama wa mipaka na upimaji wa Covid-19 katika viwanja vya ndege na vituo vya mipakani.

Licha ya mara kadhaa viongozi wa Serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan kuwataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo, watu wamekuwa wazito kuzingatia.

Mwananchi imeshuhudia watu wakiwa katika maeneo yenye misongamano bila kuchukua tahadhari ikiwemo kuvaa barakoa wala kupeana nafasi. Baadhi ya wananchi waliozungumza walieleza suala la ugonjwa huo wameliacha mikononi mwa Mungu kama ambavyo Serikali imekuwa ikielekeza.

Katika maeneo mengi ya biashara, stendi za mabasi hakuna ndoo za maji wala sabuni au matenki yenye maji tiririka kwa ajili ya watu kunawa mikono.

Kama kawaida dhidi ya madaktari mamburumundu yatajifanya majuzi zaidi.

Madhara halisi ya awamu ile:

 
Baada ya Wizara ya Afya kutoa tahadhari ya kuwepo kwa viashiria vya wimbi la tatu la ugonjwa wa Covid 19, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) Dk Shedrack Mwaibambe ameshauri Serikali kuweka wazi hali ya ugonjwa huo nchini.

Akizungumza na Mwananchi jana Jumapili Juni 20, 2021 Dk Mwaibambe alisema ipo haja kwa Serikali kuweka wazi kuwa ugonjwa huo upo nchini na taasisi nyingine ziungane kupambana nao.

“Ukisema kuna viashiria mtu anaweza asishtuke na akaendelea na maisha yake kama kawaida, kama ugonjwa upo Serikali ina jukumu la kuwalinda wananchi wake kwa kueleza wazi.

“Pia mapambano dhidi ya Covid 19 hayapaswi kuwa ya Serikali pekee, lazima taasisi nyingine zisaidie, mfano taasisi za dini, elimu na nyingine zinazohusisha mikusanyiko ziwekeze nguvu kuelimisha watu kuchukua tahadhari,” alisema.

Alieleza kuwa endapo takwimu na elimu ya kujikinga itatolewa kila mahala kwa kiasi kikubwa itasaidia watu kuchukua tahadhari.

Akizungumzia hilo, Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya, Dk Leonard Subi alieleza Serikali itaendelea kutoa taarifa thabiti kuhusu janga hilo.

“Mabadiliko ya tabia yanaweza kuathiriwa na kuendeleza kampeni ya uelimishaji wa umma na elimu, na kwa msaada wa vyombo vya habari tuna imani kuwa watu wangeanza kuchukua suala hili kwa uzito,”

Dk Subi alisema ni wakati wa wadau kutoka sekta ya umma na binafsi kutoa maoni ya hatua sahihi za kufuata ili kujikinga na ugonjwa huo.

Alieleza Serikali kupitia wizara itaendelea kuchukua hatua nyingine dhidi ya ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kuimarisha usalama wa mipaka na upimaji wa Covid-19 katika viwanja vya ndege na vituo vya mipakani.

Licha ya mara kadhaa viongozi wa Serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan kuwataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo, watu wamekuwa wazito kuzingatia.

Mwananchi imeshuhudia watu wakiwa katika maeneo yenye misongamano bila kuchukua tahadhari ikiwemo kuvaa barakoa wala kupeana nafasi. Baadhi ya wananchi waliozungumza walieleza suala la ugonjwa huo wameliacha mikononi mwa Mungu kama ambavyo Serikali imekuwa ikielekeza.

Katika maeneo mengi ya biashara, stendi za mabasi hakuna ndoo za maji wala sabuni au matenki yenye maji tiririka kwa ajili ya watu kunawa mikono.
Madaktari njaa, kama kuna ugonjwa so waseme? Nakumbuka chama cha wanasheria kililazimika kuongelea mambo ambayo chama cha madaktari ndio walipaswa kuongelea.

Sasa leo wanaita press conference na kuitaka serikali iongelee magonjwa wakati wao kama madaktari ndio forum yao wangetuambia kuna ugonjwa au haipo na ni kwa kiasi gani sababu wao ndio wapo field wanakutana na wagonjwa kila saa.

Madaktari mmegeuka kuwa walimu siku hizi, mnaitaka serikali iseme kuhusu ugonjwa ingali nyie ndio madaktari???? Poor doctors.
 
Back
Top Bottom