Haki na maendeleo
Senior Member
- Jun 15, 2021
- 123
- 262
Tuanze tena kutiana hofu, hao madaktari watuache,wao hiyo idadi ikitajwa watapata faida gani!!!
Sheria ya takwimu serikali ndio inatakiwa itoeMadaktari wakibongo mnatia aibu 😂😂😂😂serikali ndio inayopima au ninyi ?????
Tuanze tena kutiana hofu, hao madaktari watuache,wao hiyo idadi ikitajwa watapata faida gani!!!
Mimi mwenyewe naishi kwa tahadhari sio mpaka nitiwe hofu, kwani magonjwa mengine ninajikingaje nayo??? Hiii hoja yako ni dhaifu sanaKwanini uchukulie ni kutiana hofu?
Kwanini usichukulie ni kupeana tahadhari?
Utawezaje kupambana na adui usiyemwelewa?