Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

Hivi nitakosea nikimuweka mleta mada kwenye kundi la book 7?

Tiba
 
View attachment 141083

Hapa nitaainisha baadhi ya mambo
yanayoiondoa CHADEMA usoni na moyoni mwa
watanzania wanaotaka chama kinachopinga
ufisadi.
1. Mmiliki wa jengo lililopangishwa na
CHADEMA Kinondoni kama ofisi za makao makuu na bei ya pango kwa mwezi vimefanywa
siri. Mara kadhaa swali hili limeibuliwa lakini
hakuna jibu lililoweza kutolewa na uongozi wa
CHADEMA.
2. Wanachama walioomba fursa ya kushiriki
tenda ya kununua magari ya chama wamenyimwa fursa hiyo na hatimaye tenda
hiyo imetolewa kwa usiri mkubwa. Chris Lukosi
amekuwa akishutumiwa kuwa sababu ya kujitoa
kwake CHADEMA ni kunyimwa tenda hii, lakini
pale wadau walipohoji baada ya Lukosi
kunyimwa tenda hiyo ni nani amepewa na kwa vigezo vipi?, kinaibuka kigugumizi.
3. Swala la Katibu Mkuu wa chama kujikopesha
mamilioni ya shilingi zilizochangwa na
walalahoi kwa ajili ya shughuli za chama.
Ikumbukwe kuwa watu waliochangia M4C
walifanya hivyo kwa vile waliamini kuwa michango yao itakiwezesha chama kujiimarisha.
Taarifa kuwa pesa zimetumika kifisadi
zimewavunja watu moyo.
4. Taarifa za Josephine Mushumbusi kulipwa
mamilioni ya shilingi za chama kwa kazi
anayoiita ya kujitolea. Wadau walihoji kuwa na wao wangependa kujitolea kwenye shughuli za
chama ili walipwe hayo mamilioni. Ilidhihirika
kuwa Josephine alipata fursa hiyo kwa
upendeleo.
5. Pesa za ruzuku zimekuwa zikiishia Makao
Makuu. Watendaji wa chama mawilayani wamekuwa wakifanya kazi bila nyenzo. Hii
ilisababisha mpaka kukawa na mtafaruku huko
Mpanda kwa kukosa ofisi ya wilaya ambayo
kimsingi ni jukumu la chama makao makuu
kuhakikisha chama kina ofisi za wilaya.
Ikumbukwe pia kuwa matumizi haya mabaya ya fedha yalikuwa sababu ya mvutano wa kisiasa
kati ya marehemu Chacha Wangwe na kiongozi
Mkuu wa Chama.
6. Kumekuwa na taarifa za matumizi mabaya
ya pesa za Sabodo jambo ambalo limeelezewa
kuwa sababu ya kumfanya Sabado kuahirisha ahadi yake ya kuijengea CHADEMA ofisi za
makao makuu na chuo cha siasa.
7. Katibu Mkuu wa CHADEMA ni miongoni mwa
washutumiwa wa ufisadi wa mamilioni ya pesa
za mradi wa maji wa Karatu.
8. Viti Maalum vya ubunge vimetolewa kwa upendeleo ambapo akinamama waliojitolea
kukijenga chama wameachwa pembeni na
nafasi hizo kupewa akinamama walio karibu na
viongozi wa juu wa chama. Hapa ikumbukwe
kuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la
CHADEMA (BAWACHA) wa Taifa alishinda nafasi ya uchaguzi wa viti maalum, lakini
akatolewa kwa kuambiwa kuwa hajakidhi vigezo
vya kuwa mbunge ingawa amewaongoza
wanawake wenzake kwa muda mrefu ndani ya
chadema. Wakati huohuo mwanamama
anayeishi Marekani, Leticia Nyerere amepewa Ubunge wa viti maalum kutokana na
"kufahamiana" na mwenyekiti wa chama. Hili
limewavunja moyo wengi walioanza kuiamini
chadema.
9. Vijana kama Kafulila walioonekana kuwa na
ari ya mabadiliko ndani ya chama wamekuwa wakinyimwa nafasi ya kugombea uongozi
kinyume na katiba.
10. CHADEMA kukanusha kauli ya Nape kuwa
wanapewa msaada na chama cha siasa cha
Ujerumani, baadae ikadhihirika kuwa ni kweli
wanapokea msaada huo. Hii imedhihirisha kuwa CHADEMA sio wawazi katika utendaji wao.
Wadau wanajiuliza chama hicho cha siasa
kinataka nini Tanzania mpaka kikipinge chama
kilichoasisiwa na wapigania Uhuru na kutaka
chadema iingie madarakani? Ikumbukwe kuwa
muasisi wa CHADEMA Mzee Mtei, alikataa kushiriki harakati za kupigania uhuru na pia
alikataa kujitolea kuijenga nchi baada ya Uhuru.
11. Hesabu za pesa zinazochangwa na
walalahoi kwa ajili ya M4C imekuwa ni jambo la
siri kubwa ndani ya CHADEMA

Kinachofata kwa bavicha ni matusi tu!
 
Naandika kwa herufi kubwa.
>sina tatiza na wewe kama mwananchi wa kawaida,badala yake nailaani ccm iliyotunyima elimu na kuturithisha ujinga na utando ktk ubongo.
Mathalan mtu kama ww unaleta umbea kana kwamba hujui kuwa uzushi ni kaz ya mtu asiye jitambua/kilaza.
Unapoteza muda wote kuhadaa watu wakati huo hata ww huamin ktk bandiko lako,
mfano>unasema "kumekua na tetesi" weka ushaid acha kuvaa black glass in darkness.
 
Kila Mtanzania anaelewa kuwa matatizo ya nchi yamesababishwa na ccm.

Hizo propaganda zenu kuhusu Chadema zaidi ni kujifurahisha kwenye mitandao ya kijamii.

mtwambie kwa nini uchumi unaokua kwa kasi unamfanya mwananchi wa kawaida awe maskini zaidi.

Kikwete awachukulie hatua wauaji wa Tembo wetu, maana anawafahamu katangaza anamajina 40.

na amesema kuna kigogo mmoja yupo Arusha, ajabu kumbe na jk kuna raia wake anawaita vigogo wakati yeye ndio kigogo wa mwisho.!!

Leo mmekuja na Matoke ya kisiasa kwa wanafunzi wa kidato cha nne.

wananchi tunajiuliza mmenyafanya juhudi gani hadi wanafunzi kufaulu kwa 87%, kutoka aibu ya mwaka jana.?
 
Tayari nimeandika!! maana baada ya zito anafuata yeye!! Maana katumika sana kama zito Kabwe utamu ulivyoisha hawamtaki tena!

rafiki sijui kama unajua unayoyatete pale CCM

unafahamu kuwa kuna watanzania hawapati chakula cha mchana ..........na kuna mikataba ya ajabu kwenye madini yetu

ushawahi ona PPA yoyote viongozi wako wa chama walio sign

je unafahamu kuwa kuna kampuni inawauzia tanesco Umeme sent 6 za kimarekani sawa na shiling 97 za kitanzania lakini wewe unauziwa shiling 305 tshs

je unajua watu wa aina ganin wanatawala uchumi wa Tanzania

unafahamu watu dar -es - salaam less than 10% wanapata maji safi
 
Lini mtazinduka nyie misukule? Kila kitu kupinga tu, hata ukweli hamuutaki! Mtei lini aligombea uhuru?

Jamani hivi book 7 zinakutoa roho namna hiyo mpaka unatoa matusi? Vipi na mimi nikisema msukule ni mama yako?

Tiba
 
rafiki yangu Pascal Ndege shabikia CCM upate pesa lakini fahamu watanzania wanaumia kuna watanzania wanfanya kazi kwenye makampuni ya nguo wanalipwa less than 120000 wewe unashabikia CCM


 
Pasco weka elimu yako hapa

na kama degree holder nitajie chuo

kama UDSM naomba kozi

because niko na mashaka na uwezo wako wa kufikiri
 
Kumbe Chadema pale Ufipa wamepanga, ruzuku yote wanaochukuwa kila mwezi inakwenda wapi, wameshindwa kununua jengo lolote hapo mjini.

R.I.P

cha ajabu ruzuku yote ya chama inaishia makao makuu, viongozi wa wilayani na katani wanaambiwa wajitolee, chama hakina pesa
 
rafiki yangu Pascal Ndege shabikia CCM upate pesa lakini fahamu watanzania wanaumia kuna watanzania wanfanya kazi kwenye makampuni ya nguo wanalipwa less than 120000 wewe unashabikia CCM



kwa hiyo chadema ndio itawaongezea mshahara hao wafanyakazi mkuu, kama mshahara mdogo kwa nini hawaachi kazi?
 
rafiki sijui kama unajua unayoyatete pale CCM

unafahamu kuwa kuna watanzania hawapati chakula cha mchana ..........na kuna mikataba ya ajabu kwenye madini yetu

ushawahi ona PPA yoyote viongozi wako wa chama walio sign

je unafahamu kuwa kuna kampuni inawauzia tanesco Umeme sent 6 za kimarekani sawa na shiling 97 za kitanzania lakini wewe unauziwa shiling 305 tshs

je unajua watu wa aina ganin wanatawala uchumi wa Tanzania

unafahamu watu dar -es - salaam less than 10% wanapata maji safi

Nadhani mabadiliko unaanza wewe mwenyewe maana ukiangalia waliyofanya makubwa duniani hawakupata msaada serikalini tena hata Elimu hawana!!! fikilia serikali inatoza 18% tu ya faida kama kodi wewe unakula 82% yote alafu unairazimisha serikali ijenge rami hadi mlangoni mwako! Bange hiyo!!

Hivi Yule mtoto wa dada yako umemlipia Ada ? Na Yule wa jirani yako? Au unakula bata tu. Na matoto yako mbumbumbu unayalipia mamilioni ya pesa! Unaacha kijana mwenye akili za kuzaliwa ambae anauwezo wa kuleta mabadiliko anauza chuma chakavu! Tegemea mabaya zaidi ya haya!! Tena usizengue
 
View attachment 141083

Hapa nitaainisha baadhi ya mambo
yanayoiondoa CHADEMA usoni na moyoni mwa
watanzania wanaotaka chama kinachopinga
ufisadi.
1. Mmiliki wa jengo lililopangishwa na
CHADEMA Kinondoni kama ofisi za makao makuu na bei ya pango kwa mwezi vimefanywa
siri. Mara kadhaa swali hili limeibuliwa lakini
hakuna jibu lililoweza kutolewa na uongozi wa
CHADEMA.
2. Wanachama walioomba fursa ya kushiriki
tenda ya kununua magari ya chama wamenyimwa fursa hiyo na hatimaye tenda
hiyo imetolewa kwa usiri mkubwa. Chris Lukosi
amekuwa akishutumiwa kuwa sababu ya kujitoa
kwake CHADEMA ni kunyimwa tenda hii, lakini
pale wadau walipohoji baada ya Lukosi
kunyimwa tenda hiyo ni nani amepewa na kwa vigezo vipi?, kinaibuka kigugumizi.
3. Swala la Katibu Mkuu wa chama kujikopesha
mamilioni ya shilingi zilizochangwa na
walalahoi kwa ajili ya shughuli za chama.
Ikumbukwe kuwa watu waliochangia M4C
walifanya hivyo kwa vile waliamini kuwa michango yao itakiwezesha chama kujiimarisha.
Taarifa kuwa pesa zimetumika kifisadi
zimewavunja watu moyo.
4. Taarifa za Josephine Mushumbusi kulipwa
mamilioni ya shilingi za chama kwa kazi
anayoiita ya kujitolea. Wadau walihoji kuwa na wao wangependa kujitolea kwenye shughuli za
chama ili walipwe hayo mamilioni. Ilidhihirika
kuwa Josephine alipata fursa hiyo kwa
upendeleo.
5. Pesa za ruzuku zimekuwa zikiishia Makao
Makuu. Watendaji wa chama mawilayani wamekuwa wakifanya kazi bila nyenzo. Hii
ilisababisha mpaka kukawa na mtafaruku huko
Mpanda kwa kukosa ofisi ya wilaya ambayo
kimsingi ni jukumu la chama makao makuu
kuhakikisha chama kina ofisi za wilaya.
Ikumbukwe pia kuwa matumizi haya mabaya ya fedha yalikuwa sababu ya mvutano wa kisiasa
kati ya marehemu Chacha Wangwe na kiongozi
Mkuu wa Chama.
6. Kumekuwa na taarifa za matumizi mabaya
ya pesa za Sabodo jambo ambalo limeelezewa
kuwa sababu ya kumfanya Sabado kuahirisha ahadi yake ya kuijengea CHADEMA ofisi za
makao makuu na chuo cha siasa.
7. Katibu Mkuu wa CHADEMA ni miongoni mwa
washutumiwa wa ufisadi wa mamilioni ya pesa
za mradi wa maji wa Karatu.
8. Viti Maalum vya ubunge vimetolewa kwa upendeleo ambapo akinamama waliojitolea
kukijenga chama wameachwa pembeni na
nafasi hizo kupewa akinamama walio karibu na
viongozi wa juu wa chama. Hapa ikumbukwe
kuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la
CHADEMA (BAWACHA) wa Taifa alishinda nafasi ya uchaguzi wa viti maalum, lakini
akatolewa kwa kuambiwa kuwa hajakidhi vigezo
vya kuwa mbunge ingawa amewaongoza
wanawake wenzake kwa muda mrefu ndani ya
chadema. Wakati huohuo mwanamama
anayeishi Marekani, Leticia Nyerere amepewa Ubunge wa viti maalum kutokana na
"kufahamiana" na mwenyekiti wa chama. Hili
limewavunja moyo wengi walioanza kuiamini
chadema.
9. Vijana kama Kafulila walioonekana kuwa na
ari ya mabadiliko ndani ya chama wamekuwa wakinyimwa nafasi ya kugombea uongozi
kinyume na katiba.
10. CHADEMA kukanusha kauli ya Nape kuwa
wanapewa msaada na chama cha siasa cha
Ujerumani, baadae ikadhihirika kuwa ni kweli
wanapokea msaada huo. Hii imedhihirisha kuwa CHADEMA sio wawazi katika utendaji wao.
Wadau wanajiuliza chama hicho cha siasa
kinataka nini Tanzania mpaka kikipinge chama
kilichoasisiwa na wapigania Uhuru na kutaka
chadema iingie madarakani? Ikumbukwe kuwa
muasisi wa CHADEMA Mzee Mtei, alikataa kushiriki harakati za kupigania uhuru na pia
alikataa kujitolea kuijenga nchi baada ya Uhuru.
11. Hesabu za pesa zinazochangwa na
walalahoi kwa ajili ya M4C imekuwa ni jambo la
siri kubwa ndani ya CHADEMA
Hizi ni pumba mbona hutaji kiasi cha pesa? au unabuni? majungu tuuuu unataka waweke kila kitu hadharani kwani ni chama tawala hicho? mbona chama tawala mali zao huzijui? hata madeni ya nchi na makusanyo ya kodi huyajui? shida yako ni cdm hao ndio wanakuletea maisha bora? peleka u.j.i.n.g.a huko
 
sijui kwanini hii dhambi ya ufisadi ipo kila kona!!! Sielewi chanzo!! Mnisaidie jamii forum

yaakhe vipi wewe, nyoka hazai kunguru, bali huzaa nyoka, kwa hiyo usidanganyike, kama ccm ni mafisadi, basi nao wamezaa mafisadi.

Mbowe kalelewa ccm, slaa katokea ccm, mtei ni matokeo ya ccm, lema kanyonya ccm, lissu alikuwa chipukizi, chadema ni kizazi cha ccm na tanu.
 
Back
Top Bottom