Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

chadema imejaa wachaga wa kariakoo akili yao ni biashara tu.hawana mpango wa kwenda ikulu ile ni vicoba ya wachaga kwanza chris lukos alikosea njia,tenda wasimpe.mrema,lema.mtei.mbowe,ndesa,lymo,matei, wakupe wewe.shimboni

Kuna uchagga wa kujiandikisha. Karibu Moshi.
 
Nimeambiwa,nimeelezwa,nimedokezwa hivi nyie vimbulukutu kwanini mnaendekeza utaratibu wa mkiti wenu hamuwezi kujishughulisha hata kidogo ili mje na fact za hizo mnazo ziita tuhuma. Hivi unadhani mimi siwezi kuja na tuhuma kama hizo kwa maccm kwasababu kutunga ni kitu rahisi sana
 
nan kakwambia chadema ni ya wachaga?ebu kua na ufahamu wa kufikiri.Iringa ,Mbeya Kigoma ni wachaga?
Tusipende kuropoka,
 
Mbona huorodheshi na ufisadi Wa ccm tukalinganisha?
 
Back
Top Bottom