zizo12
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 278
- 136
Chama kipi Hakijakupotezea muda,au dingi yako balozi wa ccm,ndo unaona unafaidi michango ya msibaSi bora hata club billcanaz ingekua ndio ofisi
Chama kipi Hakijakupotezea muda,au dingi yako balozi wa ccm,ndo unaona unafaidi michango ya msibaSi bora hata club billcanaz ingekua ndio ofisi
We kenge,chadema cyo ccm hakina hela ofisi inatosha kwa uwezo wake,wewe na wenzio mnatuibia kodi zote tangu Uhuru na kupora mali serikali mkahodi,yaani wewe nahisi mtoto wa mama,chadema ni chama tajiri kuliko ccm,chadema cyo weziKwani kuna MTU anaitwa Chadema????? Mi namzungumzia kiongozi wenu mfalme Mboe kubwa jinga
Cuf au ccm bHata CUF ya lipumba imewapiga bao
Mi nazungumzia utashi wa viongozi wako...sasa kama hata kuthamini ofisi kuu wameshindwa wataweza kufanya lipi unadhani...hilo ni group LA wasanii na sio wakomboziChama kipi Hakijakupotezea muda,au dingi yako balozi wa ccm,ndo unaona unafaidi michango ya msiba
ndio Mimi ni mtoto wa mama kweli....wewe baba ako ali undergone procedures zipi mpaka akakuzaa....tumia akili we panya road Chadema washakusanya shillingi ngapi kuanzia ruzuku mpka michango isiyo rasmi ..kwa mfano juzi tu walikusanya zaidi ya million 500 wanashindwa nini kutafuta ofisi wanaenda kununua banda LA kukuWe kenge,chadema cyo ccm hakina hela ofisi inatosha kwa uwezo wake,wewe na wenzio mnatuibia kodi zote tangu Uhuru na kupora mali serikali mkahodi,yaani wewe nahisi mtoto wa mama,chadema ni chama tajiri kuliko ccm,chadema cyo wezi
Chadema kina miaka mingapi ...mpaka useme mwanzo....hata duvutwa hana ofisi ya mtindo huoMwanzo ata TANU ilikuwa hivyo,
Vutu vyote walivyonavyo ilikuwa mali ya serikali maana chama ilikuwa serikali na finance zote zilikuwa zinatoka serikalini. Baada ya vyama vingi ilibidi virudi serikalini! Waanze kama vyama vingine. CDM ni mwamba imejitahidi mpaka hapo, ila waongeze juhudi kutafuta pesa ya kujenga makao yenye hadhi zaidi ya jengo hilo.Kweli mkuu,eti wanakebehi wakati wao wamepora Mali za selikali,viwanja vya mpira na Mali kibao
kweli kabisa, ukilinganisha na majunmba wanayomiliki wao, pesa za chama wanazojilipa ..... yaani dahMboe kazi kufungua madanguro, club za starehe anasahau chama...haifai kua ofisi hiyo ni wizi uliokithiri....mbona wananunua majumba kila kukicha wanasahau ofisi...
Hata CUF ya lipumba imewapiga bao
Chama cha Mungu hichi shida nini hapo?
Ccm ndio serikali unaishi nchi ganiPunguza speed yani thread moja unataka kuijaza mwenyewe.
Jibu hoja umeambiea ccm ilipora mali na majengo ya serekali hujajibu
Ccm ndio serikali unaishi nchi gani
Itoke madarakani iende wapi....ndoto za mchanaWewe ndo mwendawazimu wa mwisho.
Kwaiyoo siku ccm inatoka madarakani serekali nayo itaondoka.
Lumumba mnafikiri kwakutumia m.......lio