Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,052
- 32,477
kwani kila mara unapoandika maneno ya uongo na matusi dhidi ya Chadema unapata nini? Unajiita Independent thinker lakini kazi yako ni kuiandama Chadema tu.Mbona huandami ccm,nccr,udp,tlp,cuf,updp au chausta.Ndio maana hata hao wasio member wanakupuuza kwa sababu wanajua kila post yako ni kutukana,kukejeli na kukashifu chadema.Huna kazi nyingine.Pole sana!
Huo ni mtazamo wako kwangu!