Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,833
- 972
Hii hoja haina nguvu kujadiliwa maana hata kama mkikataa kwamba hamna ndoa ya jinsia moja ukweli ni kwamba hao watu wapo hapa kwetu Tanzania. Kwa hiyo ni swala la mda tu. Hii haiwezi kuvunja mahusiano ya kisiasa baina ya vyama hivo. Politics is always a dirty game. Viogozi wetu wa Africa wanapokea pesa chafu sana ambayo haina tofouti na hii ya mashoga. Fuatilia world politics utajua undani wake. Very dirty, people are dying everywhere just because of this politics.
I like your views, it is true that watu wanakufa na wengine wanatolewa kafara za kuwa wehu na hata kufungiwa katika chumba kimoja bila ya kuliona jua kwa miaka kadhaa mpaka Mheshimiwa atakapo maliza muda wa utawala, lakini pia mbona kipindi cha Bunge mashoga/******* huwa wengi Dodoma? Je wanafuata nini? Na baada ya Bunge kuisha wanahamia Dar es Salaam ndo kusema wanawafuata wateja wao?
Jamani chunguzeni jambo hili sio bule kuna kitu!