bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.
Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.
Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.
Kabla ya kutapika haya mawashiwashi yako ni vema kwanza ujiulize 'Is CDM subject to international law??
Hii habari uliyoiandika hapa itakulaani. Chukulia mfano mdogo tu! Mwanao mpendwa wa kiume, alikuwa mzima tu, ila baada ya haya mambo kuwekwa wazi na kuruhusiwa kisheria naye akawa influenced. Ghafla kaja nyumbani na mwanaume mwenzie na anakutambulisha kuwa yule ni mumewe wanataka baraka zako wafunge ndoa! Hapo Je? Utapungukiwa nn?Iwapo mashoga watatambuliwa kisheria wakati wewe siyo siyo shoga na hulazimishwi kuwa shoga; je utapungukiwa na nini? Mambo ya mtu binafsi kutumia mwili wake apendavyo siyo mambo ya kitaifa; hiyo inatakiwa iwe ni ruksa mara moja katika jamii tuliyo nayo leo. Ukizuia mashoga utakuwa unaweka mianya ya kuanza kuingia maisha ya watu binafsi ikiwamo hata kuwapangia wawe wanapandana na wenzi wao wa ndoa mara ngapi kwa wiki. Kama serikali haimpi mtu chakula na wala haimlipii kodi yake ya nyumba, ni lazima imwachie mtu huyo kutumia mwili wake katika kujipatia rizki yake. Ni kweli kuna mambo mengine hayana radha nzuri katika utamaduni wetu wa zamani, lakini kulingana na mfumo wa maisha tuliyo nao leo, mambo hayo bado hayavunji sheria kuu ya nchi.
Hoja ipi hiyo ndugu? kazi yenu nyie ni ilieile, hamna jipya, mmekamua waislam na kuchonganisha udini kule Igunga pamoja na yote hata kuomba radhi mmeshindwa sasa mnakuja na ushoga, issue ambayo CDM haitapoteza muda kuijibu, kama wewe ni shoga endelea tu na mambo yako, ati kumkataa Mwingereza na ushoga siyo maan kwamba TZ hakuna mashoga, msipotoshe jamii kuleta mijadala isiyo na msingi, tatua matatizo yenu ya fitna kwanza mmevamia topic hii kupoteza malengo, semeni sasa huko ndani ya chama chenu mtoe tamko, kwa sababu balozi wa Uingereza yupo na Nchi imemkubali CDM itasema nini sasa, basi Membe angetamka basi tumfukuze huyu Balozi TZ na Uingereza ni marafiki tena Nchi kwa Nchi, wewe leo unatwambia chama? Mmeishiwa ninyi bora tu mkae kimya! Mnapotosha jamii iache kufikiria mambo ya muhimu kujadili issue ambazo hazi-count kiuchumi, ushoga upo TZ, kama wewe ni mmoja wao basi ach, wewe na ndugu zako washauri waache! siyo unataka Mwingereza akulazimishe! think and concentrate on issues people! CDM haitajibu upuuzi wako huu!Hoja hii nzito..inahitaji maelezo ya kina....na si kukulupuka tu?...wahusika jipangeni..kisha mje kutujibu...ili tuwe na hoja ..tukiulizwa huko kwenye mijadala mingine....tujue cha kujibu...nategemea kupata jibu
Kwa hiyo unataka kusema Maswala ya USHOGA tuwaachie Conservative na CHADEMA au kwa maana nyingine unataka kusema hayawahusu watanzania wengine? Chadema ni chama sawa lakini endapo wataunda serikkali si ni wazi wataikubali hii sheria? hapa unatunganya wewe. Nashauri CHADEMA wenyewe watoe tamko si kuwasemeawewe masabuli vipi?
Chadema ni nchi? Je chadema inapokea misaada kutoka serilkali ya wingereza?
Unacho zungumzia ni urafiki wa vyama vinavyofuata mlengo wa kulia na c conservative pekee kuna vyama vingine vingi sana rafiki ya chadema kama
. Republcan cha marelani, je hiki republicani hakiungi mkono ushoga?
Chama tawala cha ghana nimesahau jina
chama tawala cha liberia
na vingine vingi.
Mambo ya ushaoga ni maswala ya serikali ya uingereza na c chama,
nazani masabuli yako yanawasha sana na nepi atakukuna mida si mingi
wanaJF
nasikitishwa sana na utamaduni wa kujadili na kupoteza muda kwenye hoja zisizo na tija.
I. Taifa liko kwenye janga la umaskini, uchumi unazidi kuporomoka,shillingi yetu inapoteza thamani, watumishi wengi wa serikali hadi sasa hawajalipwa mishahara, oc haijatolewa na shughuli nyingi za serikali zimesimama. Hizi kwetu ni hoja nadhani hoja zingine zinapandikizwa ili ili watu wasahau Real Issues.
2. Ushoga uingereza si issue ya leo au jana.. Tunajua ilivyogawa Kanisa la Anglikana ambaye mkuu wake ni ni Malkia. Hili liliathiri hata hata Kanisa hilo hapa kwetu.wakati linaanza Cameroon wala wala Cons. Hawakuwa in power. Kuilink na Chadema ni upuuzi na kielelezo cha uvivu wa kufikiri na kutafiti.
3. Chadema ina utaratibu wake wa kutoa Tamkokwa mambo ambayo si sera yake.
4.kwamba ushoga kama ilivyo ufisadi unapingwa na Chadema haina mjadala.rejea. Rejea Kif.10 maadili viongozi na wanachama.
bila shaka wote tunafahamu kuwa kuna mahusiano kati ya cdm na chama tawala cha uingereza (consevertism) ambapo chama hicho kimekuwa mstari wa mbele katika kuhalalisha ushoga kama alivyokaririwa bosi wa chama hicho bw.david cameroon kuwa nchi yoyote inayosaidiwa na serikali hiyo sherti ifuate sera ya ushoga lasivyo nchi hiyo haitapata misaada yoyote.
Kwa ninavyoufahamu unafiki wa cdm wa kugombania haki za wanyonge, wangelisema kitu kuhusiana na ukatili huo wa waingereza.lakini nashangaa mpaka sasa wamekaa kimya.evi we padri slaaa we si ndiye unayejiita mwanaharakati? Mbona huwarakatii hili? Au nawe unaogopa kunyimwa misaada? Kama ni hivyo inadhihirisha kuwa hata ukiwa madakani utakuwa zaidi ya hao unaowapinga kwa uroho wako wa kichaga wa madaraka.
Kwa namna moja, uingereza imeipa mtihani mkubwa chadema ambapo cdm inafanya mtihani huo wakijua kuwa wanafeli na hatimaye jamii kukisusa chama hicho kinachoonekana kufeli hata kabla ya ile hadithi ya abunuasi kutimia ya kwenda ikulu.nahiii kwasababu jamii imeanza kupoteza imani na chama hicho na kung'amua kuwa kinachoubiriwa na cdm ni propaganda tu zinazotokana na tamaa za viongozi wao za kuelekea ikulu.
Wanabodi.
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kinatakiwa kiweke wazi msamamo kwa watanzania mahusiano yao na chama cha Conservative cha Uingereza..
Conservative ni wadhili wakubwa wa Chadema wanawapa misaada mingi sana Chadema.
Tunakumbuka 2005 na 2010 Chadema walipokea misaada mingi kutoka Conservative, Pikipiki, Magari, Baiskeli, pamoja na pesa..
Waziri mkuu wa Uingereza Davidi Cameron, kutoka chama cha Conservative, alitoa kauli kwenye mkutano wa nchi wanachama wa Jumuia ya Madola (CHOGM) uliofanyika Perth, Australia..
Nchi zinazoomba misaada kwao zitambue haki za mashoga kama moja ya masharti ya kupewa misaada hiyo..
Tunaomba viongozi wa Chadema walitolee maelezo jambo hili sababu kati ya wanaopokea misaada Chadema nao inapokea
Undugu wa TZ na Uingereza upo siku nyingi sana,CDM imekuja juzi tu! kwa hiyo kama wewe ni shoga basi amua kama unaacha au unaendelea, siyo waTZ kama nchi, ni wewe binafsi!Nauliza swali eti ule undugu wa CHADEMA NA CHAMA CHA CONSERVATIVE kinachohimiza tuoane bado upo?na je chadema wanapataje misaada toka chama hichi kama masharti ndo hayo?
Thank God this shows how Chadema makes you (CCM) sleepless.
Thank God this shows how CHADEMA makes you live
Thank God this shows how Chadema makes you (CCM) sleepless.