Jamani Ncha Butu,Wasiwasi,ML chris,Stivie Kabuye,DJ JD ebu ingilieni kati kuwapiga msasa wa ki-english baadhi ya macelebrations(source shilole) wetu,kuna siku nilizisikia kauli kwao
1.Hii dhiara ya uku marekani imetuwezesha kujua jinsi ya kua good leadership----B12(Akimaanisha kua kingozi bora)
2.Haaaa uje mie ni celebrate---Barnaba(Akimaanisha yeye ni celebrity)
3.I was good-Barnaba(vp unajisikaje kwa sasa? Aliulizwa na Arnold)
4.Nitafanya futuring na Ay,pia na Prof jay katika nyimbo yangu itayokuja---Wasanii wengi wanachemka hapa,anamaanisha collabo aka featuring