Challenge ya kusave pesa UTT

Nililimamiti 30 yrs ago na sasa nikitakakuuza ni 8,000/=. Naamini ni upuuzi mtupu kuinvest katika kilimo cha miti
30 yrs ago ungeweka hiyo pesa ya kulima miti UTT mda huu ungekuwa unapanga route za ndege yaani ungekuwa full booked kwenda kula pension yako🤗🤗🤗

Tuseme uliwekeza 15,000,000/ tu huko shambani kwako kwa hesabu za UTT calculator kwa lowest intrest rate ya 12% ungekuwa umezalisha 434,398,831.81 ukijumlisha na hiyo million 15 unapata 449,398,831.81 hii hela unaipata wewe bila kufanya chochote ndani ya hiyo miaka 30.

#Tukutana 2040 panapo majaliwa tutakuwa tunashift flights tu leo Amstardam kesho Paris keshokutwa Cape town mtondogoo Dubai.Ni humu tu🤫🤫🤫
 
Ikiwa umehamasika sana na unapesa hapo na kuna jini a.k.a kimada a.k.a mchepuko unataka mkaspend hilo jasho lako.Nakushauri sitisha hilo wazo.

Chakufanya ingia play store andikia UTT AMIS download hiyo app kisha install.

Piga *150*82# jiunge na mfuko wa UKWASI na utaweza kufungua account UTT hapo utaokoa hiyo pesa isiliwe na huyo jini.
 

📌Humo wameelezea jinsi ya kujiunga.

#Lakini ili usajili ukamilike inabidi ufike ofisini kwao.
 
Tuseme ukweli, mambo ya Bond au UTT tumeyajua tulipostaafu! Kama tungejua zamani naamini tusingejenga nyumba hizi zinazotugharimu sasa hivi
 
Njia ya mafanikio ni siri,

huyu ni winger asiyelipwa 😳
Silipwi chochote na sihitaji kulipwa ninasaidia wanaotaka kuelekezwa na kuelewa jinsi ya kuwekeza.

Nchi yetu inashida ya LACK OF PROPER INFORMATION na SOURCES OF INFORMATION na pia ina shida ya watu wengi kukosa proper FINANCIAL EDUCATION.

Ulitegemea umuone Mwijaku au Babalevo ndio anafanya PR ila my friend make no mistake about it,i'm above your league!!!

Nakushauri ujikite kujifunza zaidi kuliko kunishambulia pasina faida yoyote.

#Tunakushukuru kwa mchango wako pia.
 
Tuseme ukweli, mambo ya Bond au UTT tumeyajua tulipostaafu! Kama tungejua zamani naamini tusingejenga nyumba hizi zinazotugharimu sasa hivi
Mkuu pole sana ila hujachelewa.

Wengine tumeona faida zake ikiwepo SECURITY ya uhakika wa pesa za mteja hivyo nimeamua kujitolea sadaka yangu kuwasanua Vijana wenzangu.
 
Uamuzi mzuri kabisa. Hongera.
Diversfication ni muhimu sana. Chungulia na G'vt Bonds
 
Ukifka hata 10 nichape ukiwa hai
Mungu funding
Annika wosia kama unawatotoo nakamabado mawazoyako n hayoo
 
nenda maendeleo
UUnswekezaunapewafaidayakosameday
Ubaki na akilizako ukimaliza mwaka unachukua.mzigo wako wa Faidakamakawaidaa
 
UTT wanainvest kwenye government bonds significantly. Obtian their Financial statements uone mkuu.
Government bonds maximum investment period ni 25yrs na wanatoa return kubwa zaidi compared to UTT. PI unaweza kuzitumia bonds kama collateral ya mkopo bank.
Sawa mkuu🤝 ila kwa haraka haraka UTT na hizo government bonds ambao wote wanawekeza kwenye hati fungani za mpaka miaka 35 kama sijakosea wako sawa tu.
 
mbona kama mtu wa SALES? min -me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…