Miguel Felix Gallardo
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 2,115
- 3,814
- Thread starter
-
- #201
Watanzania sisi baadhi yetu tupo kupinga kila kitu.Na Cha ajabu miaka 15 itamkuta akiwa kapuku hivyo hivyo alichokifanya hakuna zaidi ya kubishana humu
Ikikupendeza angaliaangalia kwenye post za nyuma nimeshaelekeza kila kitu mpaka jinsi ya kukokotoa😀😀 usichoke kujifunza.Mkuu nifafanulie hii hesabu
View attachment 3437443
Asante nimeelewaIkikupendeza angaliaangalia kwenye post za nyuma nimeshaelekeza kila kitu mpaka jinsi ya kukokotoa😀😀 usichoke kujifunza.
Kwasababu intrest rate inachezacheza kulingana na soko la hisa na uwekezaji ni vyema kwenye hizi hesabu utumie intrest rate ndogo kabisa ambayo ni 12% hivyo ndivyo hesabu za pesa zinapigwa🤝
Na pia ukiandika kwenye google UTT calculator watakuletea calculator mbili;
1.Single sum calculator.Hii ni ile unaweka mzigo alafu unaacha kwa muda unaotaka ila unaruhusiwa kuongeza.
2.Monthly sum calculater.Hii unaweka mzigo kila mwezi.
Biashara sio makali ndio maana ninyi mnaziogopa na sisi tunazikimbilia.Acha stori za kijiweni braza biashara sio makalio,kwamba kila mtu anayo au ukifungua utawin, wakati UTT ni uhakika asilimia zaidi ya 98.
Braza unajishushia heshima, unauwakika hizo ni fixed accounts.Jaribu uwe na taarifa sahihi laasivyo utaonekana mediocre.
Naelekea utajiri kwa kutake risks, sizikimbii.Ndio maana bado masikini
Hapa umasikini umelala hamna kituNaelekea utajiri kwa kutake risks, sizikimbii.
Niweke mamilioni waniwekezee kwani mi siwezi kuweza nikujuako.
Woga wako ndo umasikini wako.
Punguza makasirikoNdio maana kuna post nimeandika kila uwekezaji una RISK ZAKE!!!
Hujalazimishwa kujiunga UTT wewe nenda kawekeze unapoona panakufaa sisi wengine hatupendi kubeti/kurisk high so UTT ni nzuri zaidi na zaidi.
😂😂 UTT ndio utajiri?Hapa umasikini umelala hamna kitu
Ngoja nikuignore ukaungane na wenzako low minded people huko kwenye dustbin👋Chawa wa Utt
Huna tofauti na kina Mwijaku ,bblevoNgoja nikuignore ukaungane na wenzako low minded people huko kwenye dustbin👋
Ume share kitu kizuri,baadhi wapo negative,mie naifurahia UTT,mzigo nauona,ubarikiwe kuwakumbusha.Ngoja nikuignore ukaungane na wenzako low minded people huko kwenye dustbin👋
Watu njaa zinawasumbua mpaka akili zimeruka hivyo ukiongelea jambo la kisave pesa lazima wachanganyikiwe🤣🤣🤣🤣Ume share kitu kizuri,baadhi wapo negative,mie naifurahia UTT,mzigo nauona,ubarikiwe kuwakumbusha.
Baki na hela yako,usisumbue watu hapa..una kichwa kigumu sana kuelewa mambo.hiyo risk ndogo ndio uniambie ni ipi mkuu. Maana serikali yetu tunaijua kila kiongoz anaeingia anakuja na matamko yake
anazingua kwa kweli, hahahhaKwamba kula bata nikupiga tu tungi?
Tunaenda kwa tahadhali mkuu, pesa ngumu aiseeBaki na hela yako,usisumbue watu hapa..una kichwa kigumu sana kuelewa mambo.
Hizi mambo kamuambie mama yako si Kila mtu anaamini dini yakoRiba ni dhambi imekatazwa katika vitabu vyote vya dini. Usichukue wala usile riba. Tafuta biashara fanya upate faida, acha shortcut ya kupata fedha bila kufanya kazi hiyo ni dhambi. Pesa haizai pesa, lakini kazi au biashara inazaa pesa.
Mwenyezi Mungu atuongoze wote katika njia sahihi
Umefanya kazi,umepata pesa then unawekeza,baki hivyo,wawekezaji tunapeta.Riba ni dhambi imekatazwa katika vitabu vyote vya dini. Usichukue wala usile riba. Tafuta biashara fanya upate faida, acha shortcut ya kupata fedha bila kufanya kazi hiyo ni dhambi. Pesa haizai pesa, lakini kazi au biashara inazaa pesa.
Mwenyezi Mungu atuongoze wote katika njia sahihi