Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
- Thread starter
- #81
leo mambo yanaendeleaje ?
sina uhakika ila jamaa anatishaHuyo mfungaji anaitwa shemele au shameless kama wanavyomtamka tbc
huwezi amini jf mambo ya nje tuko tayari kyrepoti kwa haraka ila la kwetu duh
Mlioko uwanjani, tupeni matokeo wengine tupo safarini