acha kubeza mafanikio ya timu yetu kumbuka tuna miaka 16 hatujalichukua kombe hili...Magoli yenyewe memngi ni ya matuta kiwangi baaado saaana
ikifanya vizuri jk boys subilia itandikweutasikia vyombo vya habari vitaanza, JK Boys imetwaa kombe la challenge na wakati siku zote ilikuwa inaitwa kilimanjaro stars
Mbona ya Zanzibar haitwi Tanzania visiwani, kutumia wimbo,bendera ni moja ya mapungufu ya katiba we ngoja tutayalekebisha tu....watanzania wote tuna paswa kusherekea lakini tukikumbuka huu ni ushindi wa Tanganyika ndiyo maana nanyie znz mlipeleka timusasa hvi mnataka kusema waliochukua ni Tanganyika na sio Tanzania bara ?
mbona mnatumia bendera ya Tanzania na wimbo wa tanzania
tuache kubaguana
hongera simba hasa kaseja kwa kuzuia michomo ya akina cheche na hasa kwa kudaka penati ya wagandaHongera Yanga African, husan kwa Nsajigwa aliyetupa furaha wa Tanganyika.
Chelsea yuko nyuma kwa goli 1 zidi ya Tottenham..