Chakula ni ibada kamili

Chakula ni ibada kamili

1474043927901.jpg
1474043931671.jpg
1474043934261.jpg
 
IMG-20171020-WA0110.jpg
huyu ana karma 3
1. Kachezea chakula
2. Kadhahaki roho zilizouliwa
3.kakosoa uumbaji
 
Hivi hawa wanawaza nini? Kufurahisha genge? Tena kwa dhihaka za kingono? Kutumia chakula?
IMG-20180213-WA0088.jpg
 
Mshana Jr makumbuka nikiwa mdogo kama unakula ukidondosha tonge unaambiwa liwekee na mboga juu maana waliotangulia (ancestors) wameomba /wananjaa. Niliamini hivyo kama mtoto japo siku hizi naona kama ilikua tu uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana kuna roho zinakula... Chakula hakianguki kwa bahati mbaya lakini pia sometimes kuna jambo unaepushiwa... Kama kupaliwa, uchafu nk
Mshana Jr makumbuka nikiwa mdogo kama unakula ukidondosha tonge unaambiwa liwekee na mboga juu maana waliotangulia (ancestors) wameomba /wananjaa. Niliamini hivyo kama mtoto japo siku hizi naona kama ilikua tu uzushi

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Back
Top Bottom