hongera mtoa uzi kwelichakula ni ibada kamili nilimsikiliza vizuri mtumishi mbwambo alifundisha vizuri sana kwenye mkutano wake kkkt mbezi beachWatu wanaabudu chakula hapo mkuu
Mshana Jr makumbuka nikiwa mdogo kama unakula ukidondosha tonge unaambiwa liwekee na mboga juu maana waliotangulia (ancestors) wameomba /wananjaa. Niliamini hivyo kama mtoto japo siku hizi naona kama ilikua tu uzushi
Sent using Jamii Forums mobile app


