Chakula ni ibada kamili

Chakula ni ibada kamili

Ndio uharisia wa maisha yetu watz hatuuthamini utu walashida ya mtu jiran tunajiangalia wenyewe wear so selfish
 
Hii topic naweza ipa rate ya #10/10.Ni kweli kabisa.
Mi mtu anayeharibu chakula simpendi kabisa.....habari ziwafikie wale wadada wanaoagiza kuku mzima na kung'ata kidogo tu kisha wanasema wameshiba....#siwapendi....na Mungu hapendi.
 
Hii topic naweza ipa rate ya #10/10.Ni kweli kabisa.
Mi mtu anayeharibu chakula simpendi kabisa.....habari ziwafikie wale wadada wanaoagiza kuku mzima na kung'ata kidogo tu kisha wanasema wameshiba....#siwapendi....na Mungu hapendi.
Chunguza wanaofanya hivyo hupatwa na majanga mara kwa mara
 
1469068447647.jpg
mambo kama haya kwenye vyakula ni dhihaka isiyofaa
 
Yah chakula ni ibada nzuri mkuu, ila sijawaelewa badhi ya Wasabato kwani wao chakula kingi kwao ni sumu kulingana na mafundisho ya Hellen G. White
Mfano..sukari kwao hawatumii,Mafuta nayo shida,nyama nayo shida, bidhaa yoyote iliyotengenezwa kiwandani kama vile pipi hawapewi watoto,soda,maji,majani ya chai hawayataki hata kuyasikia(wanaatumia mtundula). Yaani mkuu ukienda kwa msabato mkereketwa anyefuata mafundishao ya huyu mama wa kimarekani wiki tu utatoka umekonda.
 
Yah chakula ni ibada nzuri mkuu, ila sijawaelewa badhi ya Wasabato kwani wao chakula kingi kwao ni sumu kulingana na mafundisho ya Hellen G. White
Mfano..sukari kwao hawatumii,Mafuta nayo shida,nyama nayo shida, bidhaa yoyote iliyotengenezwa kiwandani kama vile pipi hawapewi watoto,soda,maji,majani ya chai hawayataki hata kuyasikia(wanaatumia mtundula). Yaani mkuu ukienda kwa msabato mkereketwa anyefuata mafundishao ya huyu mama wa kimarekani wiki tu utatoka umekonda.
Kuna baadhi ya mafundisho hayana mahusiano ya moja kwa moja na kukua kiimani
 
Nakumbuka mama yangu alikuwa akiwaambia kila ndugu waliokuja kuishi nasi kuhusu laana ya kutupa chakula. Aliwaambia mkipika chakula kikibaki kihifadhiwe kijiwe baadae mimi (mama) situpi chakula, atayetupa hata kwa siri laana i juu yake.
Ofcourse msg ilikuwa na kwetu pia sisi watoto wake. Hivo ulichosema Mfumwa mshana n kwerii

Kasie.
 
Nakumbuka mama yangu alikuwa akiwaambia kila ndugu waliokuja kuishi nasi kuhusu laana ya kutupa chakula. Aliwaambia mkipika chakula kikibaki kihifadhiwe kijiwe baadae mimi (mama) situpi chakula, atayetupa hata kwa siri laana i juu yake.
Ofcourse msg ilikuwa na kwetu pia sisi watoto wake. Hivo ulichosema Mfumwa mshana n kwerii

Kasie.
Urewedi Kasie nnekumithie thana
 
Urewedii washinjiadhee..... namnani hukoo
Unmithie imi eeeh....nakukunda mkunde wangu wa ngoro. .. (asione mkorofi hapa) hahahahahha.

Good day Mshana.
2U2 Kasie mkorofi dawa yake kilinge tuu
 
Back
Top Bottom