Chakula ni ibada kamili

Chakula ni ibada kamili

Nikweli lakini kwa mambo ya rohoni hawezi kueleweka na mtu hata kidogo ila unahitaji kubalance ili kuwaelewesha wa mwilini
Ni kwa kupitia mada kama hizi ndio unaweza kuhawilisha kidogo kidogo...unagusa hapa unagusa pale lakini ukiwa na plan kamili ya kile unachofanya...you have to be very clear n settled upstairs la sivyo utaishia kupoteza lengo la mada husika na kuingia kwenye malumbano yasiyo na tija
 
Mchana mm nikisomaga nalala zako nakuelewa sana hasa ukigusia kuzimu na mambo ya rohoni binafsi nakuelewa sana nayafahamu hayo ila kama hyo do ni Yako basi nakufahamu kamanda
 
Ni kwa kupitia mada kama hizi ndio unaweza kuhawilisha kidogo kidogo...unagusa hapa unagusa pale lakini ukiwa na plan kamili ya kile unachofanya...you have to be very clear n settled upstairs la sivyo utaishia kupoteza lengo la mada husika na kuingia kwenye malumbano yasiyo na tija
Mchana mm nikisomaga nalala zako nakuelewa sana hasa ukigusia kuzimu na mambo ya rohoni binafsi nakuelewa sana nayafahamu hayo ila kama hyo do ni Yako basi nakufahamu kamanda
 
Mchana mm nikisomaga nalala zako nakuelewa sana hasa ukigusia kuzimu na mambo ya rohoni binafsi nakuelewa sana nayafahamu hayo ila kama hyo do ni Yako basi nakufahamu kamanda
Tulishawahi kuonana mahali?
 
Si kila chakula ni ibada ya kupendeza machoni pa Mungu na tija kwa mwanadamu, baadhi ya vyakula kuazia maandalizi yake mpaka kukamilika ni chukizo na ibada isiyopendeza
1466967320370.jpg
81a8715969d61b9dfdad1b5a9b09e9ca.jpg
 
9cbc11c30834ae5ac819e31f4663f909.jpg

Saidia maskini na wenye njaa kwa hakika utapata ujira wa malipo makubwa sana hapa duniani na mbinguni....
Ila tofauti binadam tumekuwa wachoyo kupindukia kwa kuona bora chakula atupe kuliko kugaia maskini na wasiojiweza!
ba48e5e0941149fe0e82fde960c7ff83.jpg
 
Kuna video moja niliona jinsi soseji inavyotngenezwa wanyama waliokufa wanaingizwa ktk crusher akiwa na ngozi kwato na kila kilichomo!kiukweli ukiona hyo video huli tena soseji hadi nikashtuka ht binadam wanaokufa wakakosa ndugu wanaingizwa kwrnye soseji!nyama imesagwa kwani we utajua ya nn?!hata km ina lebo?!tahadhari sana na soseji hyo video tatupia hapa muone
 
Kuna video moja niliona jinsi soseji inavyotngenezwa wanyama waliokufa wanaingizwa ktk crusher akiwa na ngozi kwato na kila kilichomo!kiukweli ukiona hyo video huli tena soseji hadi nikashtuka ht binadam wanaokufa wakakosa ndugu wanaingizwa kwrnye soseji!nyama imesagwa kwani we utajua ya nn?!hata km ina lebo?!tahadhari sana na soseji hyo video tatupia hapa muone
Mmh
a3aeb24a1ce69bf96f658633173c2ad0.jpg
 
kabisa mheshimiwa Mshana Jr; chakula pia ni sehemu ya family bonding! ndiyo maana wataliano wanaweza kutumia masaa zaidi ya matatu wana kula tuu! chakula hutakiwi kula kama kuruta wa jeshi kwa haraka na huku watu wamenuna kuzunguka meza au mkeka, shurti kwa furaha na bashasha!😀
 
Ubinafsi choyo ulafi na kujipenda kulikopitiliza ni ibada za kishetani. ...
Hao hawana tofauti na kuua mwingine ili mambo yake yamwendee vema
Kujipenda kulikopitiliza ndio chanzo chamatatizo mengi, ukishajipenda ukapitiliza utajiona unastahili upikiwe mboga 12 akat unajua hutaweza kuzimiliza, chakula kikiwa na dosar ndogo tu utaamua ukimwage coz wew hustahili kula chenye dosari. Tunatakiwa tuwajenge watoto/ wetu
Ubinafsi choyo ulafi na kujipenda kulikopitiliza ni ibada za kishetani. ...
Hao hawana tofauti na kuua mwingine ili mambo yake yamwendee vema
Kujipenda kulikopitiliza ndio chanzo chamatatizo mengi, ukishajipenda ukapitiliza utajiona unastahili upikiwe mboga 12 akat unajua hutaweza kuzimiliza, chakula kikiwa na disar ndogo tu utaamua ukimwage coz wew hustahili kula chenye dosari
Ubinafsi choyo ulafi na kujipenda kulikopitiliza ni ibada za kishetani. ...
Hao hawana tofauti na kuua mwingine ili mambo yake yamwendee vema
Kujipenda kulikopitiliza ndio chanzo chamatatizo mengi, ukishajipenda ukapitiliza utajiona unastahili upikiwe mboga 12 akat unajua hutaweza kuzimiliza, chakula kikiwa na dosar ndogo tu utaamua ukimwage coz wew hustahili kula chenye dosari. Inatakiwa tuwajenge watoto/wapendwa wetu wawe humble
 
Sidhani kama huko huwa wanapiga stori zingne zaid ya vita na zana za kivita!tofauti na huku kwetu stori ni wanawake na bunge
Huko huchagui Ladha unafukia tuu
 
Na katika familia mkikaa pamoja wakati wa kula, upendo ndani ya familia. Na sisi Wakatoliki tunaamini kuwa nyumba ni kanisa dogo, na hivyo kabla ya kula na baada ya kula ni lazima kusali kwa pamoja kama kanisa la Mungu. Upendo hujengwa na kuimarika zaidi mnaposhiriki chakula mezani kwa pamoja. Kula hakika ni ibada tosha ya shukrani na kujinyenyekeza kwa Mungu
 
Somo zuri mkuu,ukitaka kuona uzito wa somo hili uwe na mgonjwa pale muhimbili,unakuta nyie mmejaa kwa mgonjwa wenu na mafurushi ya vyakula,lakini pembeni kalala mgonjwa hana hata ndugu mmoja na hana hata uwezo wa kununua kikombe cha chai,hali hii huwa inaniumiza sana, Mwenyezi MUNGU na azidi kutukumbusha kuwa duniani tu wapitaji tu,tuwasaidie wahitaji.
Daaah mmejazana halafu anagoma kula na hutaki kumpa mwingine lakin wew unaona hiyo baga bora ukatupe au ukale kwako wakat watu wanalala njaa pemben ya kitanda cha mgonjwa wako make it. Change
 
Back
Top Bottom