Chakula hukinai haraka

sw33tboy

Member
May 24, 2011
42
4
jamani nisaidieni hivi karibuni nimekuwa na tatizo moja ninapo kuwa na njaa ninakuwa nimetamani chakula flani nikianza kula maragafra chakula hunikinai nahapo sitaweza kuendelea kura tena nisaidieni inaweza kuwa tatizo gani wakuu
 
jamani nisaidieni hivi karibuni nimekuwa na tatizo moja ninapo kuwa na njaa ninakuwa nimetamani chakula flani nikianza kula maragafra chakula hunikinai nahapo sitaweza kuendelea kura tena nisaidieni inaweza kuwa tatizo gani wakuu
unatakiwa kunywa maji glasi 2 (ml 500) kila nusu saa kabla ya kila mlo, je unafanya hivi?. Magonjwa mengine yanayoweza kuepukika kwa kunywa maji kabla ya kula ni pamoja na vidonda vya tumbo, tumbo kunyonga, kiungulia, mafuta yaliyozidi, kansa ya utumbo mdogo, kukinaishwa na chakula, na ernia. soma zaidi: http://maajabuyamaji2.artisteer.net/jitibu-kwa-kutumia-maji/
 
nenda hospitali mkuu huenda una mimba, lakini sorry kama wewe ni mwanaume!
 
unatakiwa kunywa maji glasi 2 (ml 500) kila nusu saa kabla ya kila mlo, je unafanya hivi?. Magonjwa mengine yanayoweza kuepukika kwa kunywa maji kabla ya kula ni pamoja na vidonda vya tumbo, tumbo kunyonga, kiungulia, mafuta yaliyozidi, kansa ya utumbo mdogo, kukinaishwa na chakula, na ernia. soma zaidi: http://maajabuyamaji2.artisteer.net/jitibu-kwa-kutumia-maji/

poa mkuu nitafanya
 
Back
Top Bottom