robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,140
- 3,333
looh! ndugu we utakuwa mwinjilist au paroko kabisa. sio kwa hitimisho hilo.Bujibuji biblia imeandikwa zawadi hufungua moyo.
Hii inamaana kuwa ukikunjua mikono yako kwa namna yyte ile lazima itapokea baraka tuu. Ukimlisha mhitaj ujue na wewe utapokea na uzuri utapokea zaidi ya kile ulichokuwa unahitaj ama.kile kile.
Kwa kulijua hilo na huu msimu wa siku kuu hebu Fanya maarifa ya kapu la sikukuu kwangu. Japo tunanasi na tuembe. Tumchele kidogo na tunyama. Uone jinsi milango ya baraka itakavyo funguka kwako
mmh sijawahi kujutia kusoma nyuzi za jf