enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,065
- 3,585
Salidarama ndo maana mnawakimbia nyau roadsisi huku Darisalama huo ujinga hatuna, sisi ni mwendo wa chips zege
Salidarama ndo maana mnawakimbia nyau roadsisi huku Darisalama huo ujinga hatuna, sisi ni mwendo wa chips zege
Sasa tuwakimbilie watuue? kwani kupambana na hao panya road kazi yetu sie? hiyo kazi ya polisi bwana. kama mwataka na sie tupambane na haopanya road tupatiwe na sare za polisi basi.? Sio kwamba twawaogopa hao panya, hasha, ila hatuwezi fanya kazi sio yetuu. Yanini kujichosha pasina ujiraa.Salidarama ndo maana mnawakimbia nyau road
Heeee ngoja nikae kimya
Kwa hiyo mkuu hadi kibaka anaekuja kulowa nguo zako dirishani unamuacha kiss ni kazi ya polisi?Sasa tuwakimbilie watuue? kwani kupambana na hao panya road kazi yetu sie? hiyo kazi ya polisi bwana. kama mwataka na sie tupambane na haopanya road tupatiwe na sare za polisi basi.? Sio kwamba twawaogopa hao panya, hasha, ila hatuwezi fanya kazi sio yetuu. Yanini kujichosha pasina ujiraa.
Sasa kwani vipi? umkamate we polisi? umpige we babaake? waliacha tu lijiendee zake, unamvyoza tu kisha yaisha.Kwa hiyo mkuu hadi kibaka anaekuja kulowa nguo zako dirishani unamuacha kiss ni kazi ya polisi?
sisi huku Darisalama huo ujinga hatuna, sisi ni mwendo wa chips zege
Hiyo sura imefanana na huo ugali akimaliza kula anashushia na mahindi ya kuchoma na matango pori
KULIMAChakula cha mwanaume kwa nguvu ya kulima
Ugali unafanana na kichwa chake
hebu nidokeze mmeniacha njia shukaNimesha mjua unae msema...
Kumbe ndiomaana wauzaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume hawaishi Daslam....