Sasa Mie Baba Nile Nini Kama Hicho Siyo Chakula Changu
Wali maharage ugali pilau
Sasa Mie Baba Nile Nini Kama Hicho Siyo Chakula Changu
Wanaume huwa tunanenepa sana kipindi hiki, km nyama mbichi tunakula(kwenda chumvini), yatatushinda maziwa? Mtoto huwa ananunuliwa ya kopo af mnazuga maziwa hayatoki kumbe dingi unamaliza yote. Eti tunanyonya kwakuwa tumesikia yanaleta akiri sana kwa mtoto, hvo tunataka kupata akiri ya kutafuta pesaHivi wababa huwa wananyonya maziwa ya wake zao ambao wananyonyesha?? Maziwa huwa hayatoki? And how do they feel maziwa ya mama yanapoingia vinywani mwao?
Wanaume huwa tunanenepa sana kipindi hiki, km nyama mbichi tunakula(kwenda chumvini), yatatushinda maziwa? Mtoto huwa ananunuliwa ya kopo af mnazuga maziwa hayatoki kumbe dingi unamaliza yote. Eti tunanyonya kwakuwa tumesikia yanaleta akiri sana kwa mtoto, hvo tunataka kupata akiri ya kutafuta pesa
au km unasoma basi usipate Sup.
Wanaume huwa tunanenepa sana kipindi hiki, km nyama mbichi tunakula(kwenda chumvini), yatatushinda maziwa? Mtoto huwa ananunuliwa ya kopo af mnazuga maziwa hayatoki kumbe dingi unamaliza yote. Eti tunanyonya kwakuwa tumesikia yanaleta akiri sana kwa mtoto, hvo tunataka kupata akiri ya kutafuta pesa
au km anasoma basi asipate Sup.
Wanaume huwa tunanenepa sana kipindi hiki, km nyama mbichi tunakula(kwenda chumvini), yatatushinda maziwa? Mtoto huwa ananunuliwa ya kopo af mnazuga maziwa hayatoki kumbe dingi unamaliza yote. Eti tunanyonya kwakuwa tumesikia yanaleta akiri sana kwa mtoto, hvo tunataka kupata akiri ya kutafuta pesa
au km unasoma basi usipate Sup.
yaani wewe umenichekesha mnoo aghh ! mangelengele