Chaja ya laptop inahitajika haraka

Chaja ya laptop inahitajika haraka

Samcezar

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
13,093
Reaction score
22,806
Nyie........nahitaji chaja original ya "acer aspire 5720z".........kwa ambaye anabiashara mkononi nijibu hapa nitarudi baadae........madali acheni habari zenu.....maana kwa vya juu hamjambo.....

Na pia kwa ambaye anajua namna ya kupata full motherboard ya TOSHIBA TECRA R700 ambayo ipo functional ambayo inafaa kufanyia replacement pia ongea hapa narudi tuanze biashara.
 
Ha ha ha ha ha hapana.....ila nina fanana naye ndio maana nimemuweka hapo juu.....
jamaa alikuwa mkali sana wa R & B,tunajiburudisha kidogo wakati tunasubiri wadau wa chaja,au?
 
Kama upo DSM Hizo charger nenda kariakoo mtaa wa uhuru utazipata. Motherboard jaribu kwenda machinga complex.

Charger bei yake inarange 25 elfu mpaka 35 elfu.
 
ha ha hahahaaaa!
mwangu wewe ni wa isanga?wale marapa nilikuwa nawakubali sana..
yaa mimi ni wa Isanga mbeya mkuu,wale marapa wa isanga family ni vijana wetu mtaani walikua vizuri kipindi hicho
 
jamaa alikuwa mkali sana wa R & B,tunajiburudisha kidogo wakati tunasubiri wadau wa chaja,au?
Hadi sasa bado anasumbua..........katoa track inayosindikiza album yake this month......inaitwa So i can have you back.........bonge la meseji bonge la nyimbo.......
 
Kama upo DSM Hizo charger nenda kariakoo mtaa wa uhuru utazipata. Motherboard jaribu kwenda machinga complex.

Charger bei yake inarange 25 elfu mpaka 35 elfu.
Nipo mtwara kamanda langu la ukweli
 
yaa mimi ni wa Isanga mbeya mkuu,wale marapa wa isanga family ni vijana wetu mtaani walikua vizuri kipindi hicho
dah safi sana,mimi pia nilikuwa mshabiki wao ingawa walikuwa wakorofi sana,nimeishi sana maeneo ya uzunguni hapo juu kidogo ya mbeya hotel,karibu na kina ADILI HISABATI,IBU,CHILE,BWIGANE...kama unawafahamu,nimeanza nao kikapu centre hapo!
 
Hadi sasa bado anasumbua..........katoa track inayosindikiza album yake this month......inaitwa So i can have you back.........bonge la meseji bonge la nyimbo.......
duu inabidi niishushe fasta..
 
dah safi sana,mimi pia nilikuwa mshabiki wao ingawa walikuwa wakorofi sana,nimeishi sana maeneo ya uzunguni hapo juu kidogo ya mbeya hotel,karibu na kina ADILI HISABATI,IBU,CHILE,BWIGANE...kama unawafahamu,nimeanza nao kikapu centre hapo!
yaa nawafahamu vizuri tuu hao Mkuu hao walikua wanasoma mbeya sec,Sangu na meta kipindi hicho Adili alikua anajua sana kikapu mara ya mwisho nilikutana nae Dar Isanga fujo zote ndio zilipozaliwa kwa mbeya kipindi hicho cha kina brigedia,Atu mwaijande na watata wengine kibao..,
 
yaa nawafahamu vizuri tuu hao Mkuu hao walikua wanasoma mbeya sec,Sangu na meta kipindi hicho Adili alikua anajua sana kikapu mara ya mwisho nilikutana nae Dar Isanga fujo zote ndio zilipozaliwa kwa mbeya kipindi hicho cha kina brigedia,Atu mwaijande na watata wengine kibao..,
mbeya buana,i miss there a lot,ila siku hizi wamejaa mabishoo tu,
 
Back
Top Bottom