Habari zenu Wakuu,
Tokea nimejiunga JF leo ndio nimekuja kugundua kuwa uzi wa chai/uongo una nguvu na una wachangiaji wengi kuliko uzi wa ukweli.
Mara nyingi nimekuwa naandika nyuzi za ukweli lakini wachangiaji wamekuwa wanavaa mask na kujifanya hawaoni na wala hawajali.
WAKUU KUANZIA SASA TEGEMEENI CHAI ZA KUTOSHA KUTOKA KWANGU.
Uzi Tayari.
Moderators nawapenda na naomba tuheshimiane.
JIANDAENI KWA CHAI ZA KUTOSHA.
Tokea nimejiunga JF leo ndio nimekuja kugundua kuwa uzi wa chai/uongo una nguvu na una wachangiaji wengi kuliko uzi wa ukweli.
Mara nyingi nimekuwa naandika nyuzi za ukweli lakini wachangiaji wamekuwa wanavaa mask na kujifanya hawaoni na wala hawajali.
WAKUU KUANZIA SASA TEGEMEENI CHAI ZA KUTOSHA KUTOKA KWANGU.
Uzi Tayari.
Moderators nawapenda na naomba tuheshimiane.
JIANDAENI KWA CHAI ZA KUTOSHA.