Watoto wadogo bwana vitoto vya 2000 havijui soka kabisa sasa ngoja niwachambue
Crespo ronaldo pele batistuta hao wrnue namba 9 futa kabisa hao hamna kitu ni wqchezaj walioonekana sababu ni washambuliaji sio player marker sio dribber hamna kitu uyo kaka pia mfute apo uyo alibahatisha soka
Ronaldinho ukitaka watu wacheke uwanjan weka hii mtu inaweza mvua mtu nguo humo jumo anajua kupiga pas na chenga huyu humkosi japo ufungaj hakuwq mzur sn
Maradona rekod zke fifa wamezifuta sababu aligundulika anatumia madawa ya nguvu
Hao washamba wengine mm siwajui
Neymar messi ronaldinho ndio jibu
Uyo romario ni mwanga tu alipigwa bench na ronaldinho
Watoto wadogo bwana vitoto vya 2000 havijui soka kabisa sasa ngoja niwachambue
Crespo ronaldo pele batistuta hao wrnue namba 9 futa kabisa hao hamna kitu ni wqchezaj walioonekana sababu ni washambuliaji sio player marker sio dribber hamna kitu uyo kaka pia mfute apo uyo alibahatisha soka
Ronaldinho ukitaka watu wacheke uwanjan weka hii mtu inaweza mvua mtu nguo humo jumo anajua kupiga pas na chenga huyu humkosi japo ufungaj hakuwq mzur sn
Maradona rekod zke fifa wamezifuta sababu aligundulika anatumia madawa ya nguvu
Hao washamba wengine mm siwajui
Neymar messi ronaldinho ndio jibu
Uyo romario ni mwanga tu alipigwa bench na ronaldinho
Wabrazili ni watoto sana kwa Argentina,,,ukiwakutanisha hao brazili anakula nyingi mno, kushoto Maradona, mbele crespo, kulia Messi, nyuma kidogo Oriel Ortega, kati cannigia, kulia Requelme, hapa ushamaliza kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.