Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari zenu wanajamvi,nilikuwa naomba ufahamisho,hivi ni kwann binadamu tunapga chafya?na je? wanyama nao wanapga chafya.
Kupiga chafya (sternutation) ni kitendo cha utowaji wa hewa kwa nguvu bila ya kutarajia (burst of air), kutoka kwenye mapafu kwa kupitia njia ya pua na mdomo. Kwa kawaida chafya inasababishwa na chembechembe ndogo sana ambazo uleta aina ya muwasho kwenye pua.Habari zenu wanajamvi,nilikuwa naomba ufahamisho,hivi ni kwann binadamu tunapga chafya?na je? wanyama nao wanapga chafya.
asante kwa majibu yaliokwenda shule,ila kuna uvumi kwamba mgonjwa mahututi akipiga chafya basi atapona je?kuna ukweli wowote kuhusu hilo.Kupiga chafya (sternutation) ni kitendo cha utowaji wa hewa kwa nguvu bila ya kutarajia (burst of air), kutoka kwenye mapafu kwa kupitia njia ya pua na mdomo. Kwa kawaida chafya inasababishwa na chembechembe ndogo sana ambazo uleta aina ya muwasho kwenye pua.
Wakati mwingine chafya inaweza kusababishwa na mwanga mkali wa taa, ukikupiga usoni, au aina fulani ya virusi (mafua), chafya pia upelekea kusambaa kwa aina ya maradhi, ndio maana huwa tunashauriwa tunapotaka kupiga chafya tuzuie kwa kuweka kitambaa karibu na mdomo au kuzuiya kwa kiganja cha mkono.
Upigaji wa chafya ujumuisha misuri mbali mbali ya kwenye mwili wa binadamu, ikiwemo misuri ya tumbo, misuri ya kifua, dayaflam (diaphragm), vile vile misuri ya koo bila kusahau misuri ya kwenye macho. Ndio maana upigaji wa chafya uendana na ufungaji wa macho.
Kwa hayo machache ni matumaini kuwa utakuwa umeelewa japo kidogo, sababu za upigaji chafya.
Kupiga chafya (sternutation)
Upigaji wa chafya ujumuisha misuri mbali mbali ya kwenye mwili wa binadamu, ikiwemo misuri ya tumbo, misuri ya kifua, dayaflam (diaphragm), vile vile misuri ya koo bila kusahau misuri ya kwenye macho. Ndio maana upigaji wa chafya uendana na ufungaji wa macho.
Habari zenu wanajamvi,nilikuwa naomba ufahamisho,hivi ni kwann binadamu tunapga chafya?na je? wanyama nao wanapga chafya.