CHADEMA yazindua Sera Mpya

CHADEMA yazindua Sera Mpya

Mkuu Tuko CHADEMA mna mambo...mi ilikuwa kila nikifungua, holaa...kila nikifungua; holaaa; nikadhani kv natumia Nokia ya Kichina! Nikaazima Pc ya jirani ndo ikafunguka hiyo "Sorry, no entries found!" Nikarudi kwenye Nokia yangu ya Mchina, kwa bahati mbaya nika-click kale ka-tab ka mwisho kulia kalikoandikwa CHANGIA...ebana wee!! Mara moja tu, shwaaaa, hwaaaaa!! Page safiiiiiiii, full mautundu ya magrifiki dizaini!!"
Sawa mkuu... ila hiyo avatar inanipa ukakasi fulani... na kunipotezea concentration yakusoma post
 
Last edited by a moderator:
Mkiguswa penye ukweli mnaanza kuporomosha matusi. acheni kukubali kutumiwa kama KONDOM na wana siasa.

Mlitumika 1995 Kwa kuanzisha chama chenu cha CUF mkazigawa kura za Mrema Mkapa akashinda
Mkatumika 2005 kwa kukimbilia kumchagua Kikwete eti ni mwenzenu, sasa hivi maisha yanawakaanga kama wengine

Mlitumia 2010 kwa kumchagua JK na Lipumba akamsaidia JK kushinda

Mnatumika hata sasa kwa kuisema Chadema vibaya ilhali mnajua ni UONGO, eti Chadema ni chama cha wakristo.

Nyakati zote hizo mnatumika na CCM, MoU inazidi kuboreshwa na sasa ni nono zaidi, Mahakama ya Kadhi itakayogharamiwa na serikali ni ndoto, haitakuja kutokea, Waislam bado mnamadai lukuki dhidi ya unyanyaswaji mnaofanyiwa na Serikali ya CCM.
Kadhi mlioahidiwa 2010 mmefanywa kejeli na dhihaka, hakuna cha kadhi wala baba yake kadhi.
Ijumaaa ni siku ya kupiga mzigo kama kawa hakuna mapumziko wala nini wakati wenzako jumamosi na jumapili ni siku ya kushinda kwenye mabanda ya kitimoto kula na kunywa.....


CC THE BIG SHOW Ritz kahtaan Barubaru gombesugu faizafoxy Masanilo Mzito Kabwela

Pole sana kwa kutumiwa bongo lako, lakini ni haki yako kwani shetani wafuasi wake si mashetani ni kama yeye kwa uumbwaji la..! bali kwa upotoshaji kama wewe na maropoko mithili ya JIBWA KOKO/ KICHAA lilojeruhiwa,

Hivyo yanini kukupa pole....? Endelea na akili na mfumo wa kishetani,

Hapa panatizamwa utendaji haki na uwajibikaji,
Sasa hayo mauharo yako yapeleke Kaskaz kwa walokimbia kutumikia dini wenzio na wakaitaka dunia
 
Chadema ni chama cha kimataifa .

Bora na wewe ulosema ukweli, nami nakuunga mkono kwani hata wale wenye sera ya kuona jinsia moja ni katika ninyi aka Camer...,

Lakini padri alisema chama kidogo, ila wewe umetuambia ni kikubwa,

Funguka vizuri watu wakusome vizuri,

Huo ukubwa ni wa hicho kitendo cha Cameroon au ni ukubwa upi mkuu?

Ndo maana chama kina mtamko kila kukicha kila mmoja na lake
 
Hili ndilo chama kubwa

Wewe na Slaa nani mkweli?

Mwenzio anasema chama kidogo wewe na akili ya mbege unatuambia chama kubwa,

Au mmoja wenu matumizi ya lugha ndo bado yanendelea kumsumbua na ni nani kati yako na Slaa?
 
Last edited by a moderator:
Mnyika jumbo lako ubungo limekushinda hakuna maendeleo yoyote uliyofanya maneno tu kweli siasa ni uongo tu na huu ndio mwisho wako hatukuchagui tena katafutesha ulime

Acha kumchagua pimbi wewe! Badala ya kujadili kilichopo kwenye post unaanza kumjadili mtu. Kaanzishe thread ya uyasemayo. Nyie ndio mnaoshusha hadhi ya jukwaa hili.Bora ukarushiane matusi na watoto wenzio kule fesibuku tu.
 
Sawa mkuu... ila hiyo avatar inanipa ukakasi fulani... na kunipotezea concentration yakusoma post
Kwiikwiii kwiiii!!! Mkuu wangu hilo li-Avatar huwezi amini hata mi mwenyewe linanikera hadi basi; cjui niliweka nikiwa nimekula mjani, au vipi wala sikumbuki! Kila wakati huwa nakusudia ku-replace lakini najikuta nimesahau!! Lakini acha limalize 2013 salama!
 
Oooonhooooo kimenuka!!!!!

Cc NasDaz, Tuko, gfsonwin


Sasa Mnyika hapa ndo kafanyaje tena,na huyo mkurugenzi wa utafiti???!!


Wanaidanganya misukule.

Nilisema post ya nyuma huko, wameona kuna fedha zinazotolewa na Mataifa yenye viwanda vinavyochafua mazingira duniani na wao wakaona wasiikose hii fursa kujitajirisha.

Ni waongo sana kusema kuwa hii ni sera yao. Hii ni sera ya taifa na ushahidi upo na imepewa kipaumbele na Serikali ya CCM kwa kuwekwa kushughulikiwa na Makamu wa Rais na Kikwete amesha pata tuzo kwa hilo, tena mwaka huu huu, tuzo aliyopewa na Bunge la USA na pia Kikwete ameshakuwa Mwenyekiti wa Au wa mambo hayo ya tabia nchi na mazingira. Isitoshe hivi juzi juzi Kikwete kapewa honorary Doctorate na chuo kimoja huko Canada kwa hayo hayo nae akawatunuku (dedicate) tuzo hiyo wakulima wa Tanzania.

Reference na ushahidi wa niyaandikayo ni huu hapa:

President Kikwete's World Environment Day speech raises eyebrows over its sincerity | Wolfgang H. Thome's Blog

Kikwete chairs AU environment meeting - National - thecitizen.co.tz

JK Dedicates Varsity Honor To Farmers

http://habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/16671-bunge-la-marekani-lamtuza-kikwete

Jamani hawa chadema na kina Mnyika, wataacha lini uongo na kudangaya Watanzania? hivi wanafikiri Watanzania wote ni misukule?

Wasidanganye watu, wakadanganye misukule yao.
 
Chadema ni chama makini sana.. Hata kiyumbishwe namna gani kitabaki kuwa makini,Tusonge mbele tukomboe nchi....!
 
Wanaidanganya misukule.

Nilisema post ya nyuma huko, wameona kuna fedha zinazotolewa na Mataifa yenye viwanda vinavyochafua mazingira duniani na wao wakaona wasiikose hii fursa kujitajirisha.

Ni waongo sana kusema kuwa hii ni sera yao. Hii ni sera ya taifa na ushahidi upo na imepewa kipaumbele na Serikali ya CCM kwa kuwekwa kushughulikiwa na Makamu wa Rais na Kikwete amesha pata tuzo kwa hilo, tena mwaka huu huu, tuzo aliyopewa na Bunge la USA na pia Kikwete ameshakuwa Mwenyekiti wa Au wa mambo hayo ya tabia nchi na mazingira. Isitoshe hivi juzi juzi Kikwete kapewa honorary Doctorate na chuo kimoja huko Canada kwa hayo hayo nae akawatunuku (dedicate) tuzo hiyo wakulima wa Tanzania.

Reference na ushahidi wa niyaandikayo ni huu hapa:

President Kikwete's World Environment Day speech raises eyebrows over its sincerity | Wolfgang H. Thome's Blog

Kikwete chairs AU environment meeting - National - thecitizen.co.tz

JK Dedicates Varsity Honor To Farmers

http://habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/16671-bunge-la-marekani-lamtuza-kikwete

Jamani hawa chadema na kina Mnyika, wataacha lini uongo na kudangaya Watanzania? hivi wanafikiri Watanzania wote ni misukule?

Wasidanganye watu, wakadanganye misukule yao.

We umefanikiwa kuiona hiyo ya CDM?...
 
Oooonhooooo kimenuka!!!!!

Cc NasDaz, Tuko, gfsonwin



Sasa Mnyika hapa ndo kafanyaje tena,na huyo mkurugenzi wa utafiti???!!

Hapana mkuu... Alichoweka hapa FaizaFoxy ni sera ya serikali ya mazingira (1997), na CDM tunaambiwa wamezindua sera ya mabadiliko ya tabia nchi (climate change policy). Hivi ni vitu viwili tofauti ingawa vina muingiliano fulani. Na hata kama ni sawa, sera ni sera, inabadilika na muda na watawala...

Nimeisoma hii ya mazingira sijaona kama imeaddress suala la mabadiliko ya tabia nchi kwa kina... nasubiri kuona hiyo ya CDM. Naomba kama CCM nao wana yao nipewe link... Hii nchi ni yetu sote, sio vibaya tukashirikiana kuiboresha...
 
Wanaidanganya misukule.

Nilisema post ya nyuma huko, wameona kuna fedha zinazotolewa na Mataifa yenye viwanda vinavyochafua mazingira duniani na wao wakaona wasiikose hii fursa kujitajirisha.

Ni waongo sana kusema kuwa hii ni sera yao. Hii ni sera ya taifa na ushahidi upo na imepewa kipaumbele na Serikali ya CCM kwa kuwekwa kushughulikiwa na Makamu wa Rais na Kikwete amesha pata tuzo kwa hilo, tena mwaka huu huu, tuzo aliyopewa na Bunge la USA na pia Kikwete ameshakuwa Mwenyekiti wa Au wa mambo hayo ya tabia nchi na mazingira. Isitoshe hivi juzi juzi Kikwete kapewa honorary Doctorate na chuo kimoja huko Canada kwa hayo hayo nae akawatunuku (dedicate) tuzo hiyo wakulima wa Tanzania.

Reference na ushahidi wa niyaandikayo ni huu hapa:

President Kikwete’s World Environment Day speech raises eyebrows over its sincerity | Wolfgang H. Thome's Blog

Kikwete chairs AU environment meeting - National - thecitizen.co.tz

JK Dedicates Varsity Honor To Farmers

http://habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/16671-bunge-la-marekani-lamtuza-kikwete

Jamani hawa chadema na kina Mnyika, wataacha lini uongo na kudangaya Watanzania? hivi wanafikiri Watanzania wote ni misukule?

Wasidanganye watu, wakadanganye misukule yao.

Mbona unakurupuka sana ndugu,kwani umeshaiona sera ya chadema?
 
Hapana mkuu... Alichoweka hapa FaizaFoxy ni sera ya serikali ya mazingira (1997), na CDM tunaambiwa wamezindua sera ya mabadiliko ya tabia nchi (climate change policy). Hivi ni vitu viwili tofauti ingawa vina muingiliano fulani. Na hata kama ni sawa, sera ni sera, inabadilika na muda na watawala...

Nimeisoma hii ya mazingira sijaona kama imeaddress suala la mabadiliko ya tabia nchi kwa kina... nasubiri kuona hiyo ya CDM. Naomba kama CCM nao wana yao nipewe link... Hii nchi ni yetu sote, sio vibaya tukashirikiana kuiboresha...

Usicheze na maneno. Mazingira ni kubwa kuliko tabia nchi. Tena chagadema wameweka sera ya "tabia ya nchi" si tabia nchi. Kasome vizuri post #1 .

Serikali inaundwa na CCM usisahahu hilo.
 
Acha kumchagua pimbi wewe! Badala ya kujadili kilichopo kwenye post unaanza kumjadili mtu. Kaanzishe thread ya uyasemayo. Nyie ndio mnaoshusha hadhi ya jukwaa hili.Bora ukarushiane matusi na watoto wenzio kule fesibuku tu.
dr feki, punguza hasila, miaka yote ukweli unauma. Mnyika jimbo limemshinda sasa anatapatapa kama kuku anayetaka kutaga. chadema ni kakikundi ka wajanja kanakojipatia pesa kijanja. ukitaka kuamini anzisha harakati za kutaka uwenyekiti utakiona, mifano halisi, Marehem Wangwe R.I.P, and Zitto Shujaa kijana na msomi. halafu wewe dr john hem jalibu kudili na duka lako la dawa kinondoni manyamna.
 
Mnyika jumbo lako ubungo limekushinda hakuna maendeleo yoyote uliyofanya maneno tu kweli siasa ni uongo tu na huu ndio mwisho wako hatukuchagui tena katafutesha ulime

Haya ndiyo mawazo ya GT!?
 
Usicheze na maneno. Mazingira ni kubwa kuliko tabia nchi. Tena chagadema wameweka sera ya "tabia ya nchi" si tabia nchi. Kasome vizuri post #1 .

Serikali inaundwa na CCM usisahahu hilo.

Kazi kweli kweli!
Huo ndo mchango wa GT!?
Unajua kwamba Tanzania ina Wizara ya Wanawake, Jinsia na Watoto??!
Kwa nini isiitwe wizara ya Jinsia?
 
Usicheze na maneno. Mazingira ni kubwa kuliko tabia nchi. Tena chagadema wameweka sera ya "tabia ya nchi" si tabia nchi. Kasome vizuri post #1 .

Serikali inaundwa na CCM usisahahu hilo.

Unaposema mazingira ni kubwa kuliko tabia nchi una maana kuwa kila kinachohusiana na mazingira kisiwe na sera yake bali kiwekwe ndani ya sera ya mazingira?

Then tusiwe na kilimo, uvuvi, makazi, nk, bali vyote viwekwe kwenye environmental management, sio?
 
Back
Top Bottom